Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,755
- 25,388
Na wasi wasi kama wewe ulishawahi kusaidia hata ndugu zako huko kijijini kwenu.
Em jaribu kuwa na kifua ikiwa hauwezi kumsaidia mtu usimtupie maneno ya ovyo:
Wewe hauna tofauti na mfanyakazi mwenzangu mmoja, siku moja tupo sehemu moja tumekaa sehemu, alikuja mbaba mmoja akawa anaomba jero tu ili akapate japo kitumbua...
Basi maneno aliyomjibu sikupendezwa nayo ilibidi niingilie kati, maana sipendi ujinga kama ule.
Nilimwambia pale pale ni afadhali mtu umwambie hauna kuliko kumjibu mbovu, kwamba "wewe vipi kazi zote hapa mjini unashindwa kupata hero" hujui mtu ana masahibu gani.
Sio uungwana hata kidogo, kitu kama hautaki kutoa usiweke vigingi ili na wengine wakuamini na roho yako mbaya.
Kuwa na roho ya kibinadam japo kidogo. Sio kila mtu kwamba anataka kuwa omba omba.
Na wasi wasi na wewe sio Mtanzania.
Unachokiongea ndio cha ajabu sasa!
Sijamtolea maneno ya ajabu,nimetoa FACT!
Shida tuonazo wote!Kuumwa tunaumiwa wote!Na kazi au biashara vipato ni hivi hivi kama anavyopata Mamdenyi,mi nachukia pale mpuuzi mmoja anapoona shida yake yeye ina worth kuandikia insha ili wananchi tumbebe mzigo!
Thats what i hate to the core!
Wote tunavumilia shida hapa!Keep it for urself and work it out as human being!