Mmmmmh17yrs huyo ex hajaoa mpaka sasa? Hana ndg wa kumuuguza? Huyo shemeji kwa nn asikupe nauli uende ukamuone kaka yake
Pole sana
Hapana mimi niko na hela kwenye airtel money sina sehemu nyingine kwasasa maana naamini kutunza humo kuliko nmb nnayochukulia mshahara.Asanteni kwa michango ya hali na mali,
Nashukuru kuna hela imekuja huku,
Mungu tu akubariki maana hata jina lako silijui;
Pia namba yangu ya air tel ni 0783 333048 ila haina usajili wa kudumu.
Naomba utumie tu hii ya voda ambayo ni 0755 557094.
Ana roho nzuri dada wa watu. Mimi nisingemsaidia kwa chochote labda watoto wake wamsaidie. Pole dada..Mkuu huyo bwana si mmeachana?unajihangaisha naye wa nini?ntakutumia kiasi kidogo naahidi.Ila kama hukumfaa ukiwa mzima hata kama anaumwa huwezi kumfaa
Asante, itume tu kwa hii air tel , asante 0783 333048Hapana mimi niko na hela kwenye airtel money sina sehemu nyingine kwasasa maana naamini kutunza humo kuliko nmb nnayochukulia mshahara.
Mara nyingi nazitoa zote bank na kuziweka huko nenda basi kwa wakala hata sasa hivi.
Au weka namba ya uhakika airtel.
Hapana mimi niko na hela kwenye airtel money sina sehemu nyingine kwasasa maana naamini kutunza humo kuliko nmb nnayochukulia mshahara.
Mara nyingi nazitoa zote bank na kuziweka huko nenda basi kwa wakala hata sasa hivi.
Au weka namba ya uhakika airtel.
Siku hizi unatuma pesa mtandao wowote ule. Mpaka aende kwa wakala kusubiria?Kwani Dar to Mbeya nauli ni kiasi gani?
Nauliza hivi nna maana yangu nataka nifanye makisio nikupe ngapi ambayo inaweza kukusaidia kwa 30℅ na pia nikipata jibu kama hautojali au kuona shida nenda kwa wakala wa airtel nikutumie moja kwa moja au nipe namba ya airtel.
Mahusiano17yrs huyo ex hajaoa mpaka sasa? Hana ndg wa kumuuguza? Huyo shemeji kwa nn asikupe nauli uende ukamuone kaka yake
Pole sana
i sec ...Ana roho nzuri dada wa watu. Mimi nisingemsaidia kwa chochote labda watoto wake wamsaidie. Pole dada..
ok, nazidi kukuombea mhenga mwenzangu.Asanteni kwa wote mlioguswa na ujumbe wangu huu;
Mungu awabariki tu jamani;
Kuna aliyeuliza kama nilishaingia mahusiano mengine, jibu ni hapana;
nilikuwa na changamoto kubwa ya kusomesha sikuweza tena kuanza mahusiano.
Yupo pia alieuliza why nimekosa nauli, hapa siwezi kusema sana ila kweli
hela ingekuwepo wala nisingekuja huku;
Naomba niweke tu namba yangu kwa ajili
ya hao wapendwa waliouliza huko juu 0755 557094.
Asanteni sana!
Du..pole sanaSalaam sana wana MMU wote;
Nimekuja kwenu rasmi kuleta taarifa hii ya kuuguliwa na bwana ambaye nimezaa naye watoto wangu wote wanne.
Kweli tulifikia mahali kimaisha tukatengana tokea 2001. Kila mmoja akiwa na maisha yake huku nikiwa na changamoto kubwa na kali za kulea watoto ambao ilibidi nibaki nao, hayo kwa sasa tuyaweke pembeni.
Hadi ninavyoandika huu uzi hakuna mtoto hata mmoja ambaye ameshapata kibarua wote wapo kwenye kuhangaika kutafuta kazi.
Ilipofikia mwaka jana mwishoni nikapata taarifa ya kuwa yule bwana niliezaa naye anaumwa, nikajuwa ni homa za kawaida tu.
Leo kaka yake ndo ananipigia simu na kusema kuwa mdogo wake amezidiwa sana na alikuwa amezimia ila kazinduka tena juzi.
Kwangu hiki kitu ni kikubwa nimeshindwa kukibeba.
Kwenu wana jamii kwa upendo wenu ninaomba mnichangie nauli ili niweze kwenda huko Mbeya kumwona huyo mgonjwa. Kama mnavyojua mahali penye ugonjwa mkubwa pia panahitajika hela ya matumizi mengineyo.
Kwa wana jamii wa Mbeya mnaweza kwenda kumuuona nyumbani ni Sae.
Naomba tu msinitukane maana nitalia;
Hapana mimi niko na hela kwenye airtel money sina sehemu nyingine kwasasa maana naamini kutunza humo kuliko nmb nnayochukulia mshahara.
Mara nyingi nazitoa zote bank na kuziweka huko nenda basi kwa wakala hata sasa hivi.
Au weka namba ya uhakika airtel.