Nina ujauzito - nimekata tamaa

Nina ujauzito - nimekata tamaa

Wadau huu ni mtihani mgumu sana kwa dada Jack1.Niliwahi kuishi na mwanamke ambaye alipewa ujauzito na mtu fulani kisha akatoswa.Dada huyu alikuwa na kazi yake ya kudumu lakini hakusaidia kitu.Ushauri wangu nakuomba Jack usinywe sumu wala usiitoe hiyo mimba,huu ni mtihani kwako najua utauvuka.Naomba usisite kuni PM
 
Kunywa Sumu Tu-ila kabla ya kunywa waulize wazazi wako nani ajawai kuzini?
 
Watu wengi humu wanakatisha tamaa badala ya kufariji na kumsaidia mtu.Ni bora mtu ukae kimya kuliko kuropoka utumbo.Kwake yeye Jack na watu kama yeye ni walkati mgumu na wanakuwa wamechanganyikiwa kweli.Sasa haya majibu ya rejareja mnatoa humu ni utoto wa hali ya juu.Mnaiharibu JamiiForum.Ningependa Mods wawewanawashughulikia kwa kweli.
 
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.

Njoo huku nikupatie thiodane (do not mind spelling) au D.D.T, hata sekunde huchukui!!! Ila hata sumu ya panya ile ya nyeusi hivi inasaidia sana!!! Tahadhari!!!! Unataka kujiua na kuua kiumbe kisicho na hatia???? Hivi huyo mwanaume angekufa usingelelea mtoto? Kwani huna ndugu? Wazazi wakikufukuza huwa uncles na ants wana huruma sana, nenda kwao. Na of all the people bibi au babu hatupi mjukuu kama wapo nenda kwao. Acha maamuzi ya kijingaaaa.
 
Watu wengi humu wanakatisha tamaa badala ya kufariji na kumsaidia mtu.Ni bora mtu ukae kimya kuliko kuropoka utumbo.Kwake yeye Jack na watu kama yeye ni walkati mgumu na wanakuwa wamechanganyikiwa kweli.Sasa haya majibu ya rejareja mnatoa humu ni utoto wa hali ya juu.Mnaiharibu JamiiForum.Ningependa Mods wawewanawashughulikia kwa kweli.

I miss Kaunga dena Amsi AshaDii gfsonwin na wamama wengine wa kipindi cha nyuma. Kuna vidada vipo humu yaani ukisoma anachoandika siku zote hukuti point ya maana hata moja.! Na hapa huu ushauri wanautoa kwa mwanamke mwenzao. Wanalaumu sana mwenzao wakati wao wanazalia chooni tena na waume za watu!!
 
Last edited by a moderator:
I miss Kaunga dena Amsi AshaDii gfsonwin na wamama wengine wa kipindi cha nyuma. Kuna vidada vipo humu yaani ukisoma anachoandika siku zote hukuti point ya maana hata moja.! Na hapa huu ushauri wanautoa kwa mwanamke mwenzao. Wanalaumu sana mwenzao wakati wao wanazalia chooni tena na waume za watu!!
Yani ni majanga.Kuna haja ya kutoa darasa ili hadhi ya MMU irudi.Cha kushangaza kuna wale ambao walikuwa na ushauri mzuri nao wamebadilishwa wanatoa pumba tu.
 
usifanye hivyo mdada,hebu fuata ushauri wa wachangiaji wengine hapo juu naona utakufaa.
 
Mi ntatoa sanda, wala asijali. Atoe tu taarifa mapema baada ya kufariki

R.I.P Jacky 1 ...Uangaziwe mwanga wa milele!

Me sijawahi kuona mtu anavyopata ujauzito.........................

itakua tayari maana tangu sikuile hajaingia hapa,rip

Kunywa Sumu Tu-ila kabla ya kunywa waulize wazazi wako nani ajawai kuzini?

Ushameza sumu au bado? Kama bado niPM

aisee..
majanga
 
Mapambano mbelee hakuna kuludi nyuma...kuna mwenzio anazekaa hajawai hata shika mimba ww mungu kakujalia kiumbee watakaa ufee nachoo ?..... zaaa mtt nipe mm afuu ndo ujiuwee
 
Yani nijiue kisa mimba?mtt ni baraka shost,subirii ukijifungua,ujiue peke yako utuachie huyo malaika eboooo!!!!???
Ama kweli kiatu usichovaa hujui kinabanaje! Jack pole. We nenda kwenu lala hata barazani. Hasira zao zikiisha watakufungulia tu mlango uingie. Wakigoma nenda kwa mtu wanayemsikliza akakuombee msamaha. Huyo mwanaume pia anaweza kujirudi maana wengine huruka kwa mshtuko. Asipojirudi wala hakuna lililoharibika. Kubali hali ili akili ifunguke uone mbele.
 

Attachments

  • 1395328459257.jpg
    1395328459257.jpg
    63.6 KB · Views: 136
hiyo ndo shida ya kumtegemea mtu. kamwe usimtegemee mtu kihivyo hadi akikufukuza upate shida. jaribu kuwa wewe kama wewe. sasa umetuambia umefukuzwa kazi sasa na wazazi wako na pia hawatakikukuona home. ulizaliwa mwenyewe kwenye huu ilimwengu so jifunze kujitegemea, sasa madhara ya kumtegemea huyo boi frendi wako ndo huko. kwanza nyie wote ni wazinzi, na si ajbu huyo jamaa wala hakuwa na plan na wewe, kwani mmefunga ndoa.
 
uckate tamaa dada pambana tu utakuja kuwa na raha mustarehe ukicheka na mwanao cku moja huku yeye akiumia kama wewe uumiavyo sasa
 
Acha ujing ww unywe sumu ili iweje? Unatak kukiuwa kiumb kiccho kuwa na hatia...... uckate tamaa iyo ni mitihan ya maixha cha mcng muomb Mungu.
 
Back
Top Bottom