Nina ujauzito - nimekata tamaa

Nina ujauzito - nimekata tamaa

huyu dada kashajiua au anatumia id mpya???

nadhani la pili ndio jibu
 
Nimesoma huu uzi na comment zake, watu wamemtukana na kumponda mdada wa watu wakti alikuwa anahitaji ushauri, unajua mtu akisema anataka kujiua na akaelezea na namna ni mbaya sana.
Ninachoshauri wanajukwaa next time mtu anapost ishu serious hata kama anatania jaribuni kuwa positive tu
 
tafuta hela ya kutoa mimba kama haijakuwa kubwa
 
No, usithubutu. Kaa chini utafakari upya na uanze maisha mapya. Kwa wazazi hizo ni hasira tu lakini mwisho watatulia na kukusamehe. Kama utapata ndugu kapumzike wakati ukitafuta hata mtaji wa karanga.
 
Sasa shoga ulivyopanua miguu bila condom ulitegemea nini...ningekupa pole km Ungekua umebakwa lkn kwa hiari yako hustahili pole we amua lolote cz utamu uliusikia wewe na shemeji..sisi hatukuwepo..kuna mambo ukifanya lzm ujiandae kwa lolote

Tatizo sio kupanua miguu mwanaume ameikataa mimba,
 
Ni pm nikusaidie pesa ya kutolea mimba!

Wewe ungetolewa leo unge comment hapa.....kwanini utake kukatisha uhai wa binadam ambae hana hatia....au kwasababu hawezi kujitetea ndo mana unaona jambo la kawaida............
 
tafuta hela ya kutoa mimba kama haijakuwa kubwa

Kwanini atoe mimba.......huyo mtoto hastahili kuzaliwa kwasababu zipi...? Mama kukata tamaa ama huyo mtoto yuko nje ya kizazi.......ama mama ana matatizo ya kiafya ndo mana inabidi kutolewa....? Yani unashauri huyo kiumbe akatishwe uhai......kwanini wew usijikatishe uhai kwa kujiua........wew unapenda kuishi....kwanini sasa hautaki wengine waje kuishi kwa hali yoyote ile.....
 
Kwanini atoe mimba.......huyo mtoto hastahili kuzaliwa kwasababu zipi...? Mama kukata tamaa ama huyo mtoto yuko nje ya kizazi.......ama mama ana matatizo ya kiafya ndo mana inabidi kutolewa....? Yani unashauri huyo kiumbe akatishwe uhai......kwanini wew usijikatishe uhai kwa kujiua........wew unapenda kuishi....kwanini sasa hautaki wengine waje kuishi kwa hali yoyote ile.....
majukumu ambayo hukujipanga huna budi kuyatua,ndo maana hata nchi zilizoendelea hawaoni ajabu mimba kutolewa na ku-legalize
 
majukumu ambayo hukujipanga huna budi kuyatua,ndo maana hata nchi zilizoendelea hawaoni ajabu mimba kutolewa na ku-legalize

Kwahiyo utatuzi ni kuitoa.......badala uumpe mbinu positive za kumfanya apate kipato ili aweze kulea hiyo mimba wew unaona akitoa ndo amemaliza kila kitu....swala hapo yeye hana kazi.....hata kama wazazi wamemkataa...na huyo mwanaume amekataa....unadhani angekuwa na kipato ingemletea shida.........wangapi wanalea mimba wenyewe wakiwa kwenye hali kama hiyo.......
 
Itakuwa vizuri makaburi ya kinondoni au kisutu kwakuwa ni katikati ya mjini utapata watu wengi r.i.p wakujiua
 
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.

pole sana kwa yaliyokukuta najua maumivu unayoyapata, nami yamenikuta kama yako ninachoshukuru kwa sasa naendelea vzr naendelea na mimba yangu, nimekubali matokea. inauma sana ila iko siku utayasahau yote na utalea mwanao mtoto ni baraka
 
Unywe sumu kisa ni nini?
Yawezekana huyo mwanaume si kusudio la Mungu, Hata angekuoa msingedum hivyo mshukuru Mungu kwa Muujiza aliokutendea mpaka hapo ulipo kwani una afya Njema.

Mmmh mungu kamtendea mema baada ya kuzini sio?
 
Kwa uelewa wangu...dunia ni nzuri sana kuishi ni kuzuri sana kufurahia maisha ni kuzuri sana...sasa unapomkuta binadamu anafikiria kukatisha maisha yake ujue huyo mtu amepoteza matumaini juu ya kila kitu...maana kucontemplate kifo sio mchezo....!!
 
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
Vipi upo mzima au id ya marehemu
 
Back
Top Bottom