yani nimeshangaa sana nipo kwenye hilo tatizo mwanaume kakimbia na ninaishi na vvu wala sina ajira ila cjawaza kutoa uhai mwezi uloisha nimejifungua japo kwa tabu maana ilibidi nimpe mtu vyeti vya shule ashike anipe hela za operation , maisha yangu nategemea kuomba ili nimlee mwanangu najua nawasumbua wengi ila ntasimama tu na siwezi kukata tamaa kwaiyo kaza moyoWenzako wana magonjwa makubwa kama cancer na ukimwi na wanaishi kwa matumaini ..wewe mimba unataka kujiua? ???? Ni pm tafadhali ntanunua hiyo mimba.
unauliza swali gani sasa?sijawahi kukataa mimba. We pimbi umemshauri nini na unajuaje kama unayemshauri yupo hai au ashakunywa hiyo sumu?
wewe ndio mwanamke sasa, maisha ni vita,pambana na muombe Mungu (kama unaamini kuna Mungu), atakusaidia. kukata tamaa ni dhambi kubwa. pole kwa yoteyani nimeshangaa sana nipo kwenye hilo tatizo mwanaume kakimbia na ninaishi na vvu wala sina ajira ila cjawaza kutoa uhai mwezi uloisha nimejifungua japo kwa tabu maana ilibidi nimpe mtu vyeti vya shule ashike anipe hela za operation , maisha yangu nategemea kuomba ili nimlee mwanangu najua nawasumbua wengi ila ntasimama tu na siwezi kukata tamaa kwaiyo kaza moyo
Utasikia Lame excuse ya ilikuwa bahati mbayaSasa shoga ulivyopanua miguu bila condom ulitegemea nini...ningekupa pole km Ungekua umebakwa lkn kwa hiari yako hustahili pole we amua lolote cz utamu uliusikia wewe na shemeji..sisi hatukuwepo..kuna mambo ukifanya lzm ujiandae kwa lolote
Njoo kwangu ila mtoto akizaliwa anakuwa wangu kuanzia kadi kliniki andikisha jina langu ni pm
Jack 1 yupo fine tunasubiri mjukuu tu...je huyu jack 1 yupo ama kesha jizuru??
Jack 1 yupo fine tunasubiri mjukuu tu...
Kweli mungu ni mwema, amepitia magumu mdada wa watu I met her akanisimuliaMungu ni mwema sana kwake...........
binafsi sidhan kama kuachwa na aliyempa mimba ndio mwisho wa maisha, tena akumbuke kwamba limkwepalo lina heri.
kuna wengine waako ndoani lkn wanaish maisha magumu kiasi kwamba uhai wako uko threatened.
its good kama kajitambua na kaamua ku-carry on with her life
Kweli mungu ni mwema, amepitia magumu mdada wa watu I met her akanisimulia
wanaume jamani mmmh
Halafu Tuambie Unaishi Wapi ili tuhakikishe kama kweli ni wewe utakayekuwa umekufa. Stupidy kabisa.