Nina ujauzito - nimekata tamaa

Nina ujauzito - nimekata tamaa

Feed back hii hapa
thanks Heaven on Earth for the feed back!
shukrani za dhati pia zimfikie Happy Amos na Aunty yake kwa jukumu walilolifanya,pengine kama kunatunaloweza kufanya kumsaidia tuzidi kufanya,kujiua ni makosa kweli lakini vyema wanadamu kushirik kubebeana mizigo hii.
 
Pole wewe mschana uliepata kitumbo 7bu ya kuiga mapenzi ya kwenye Tamthilia! hili ni tatizo kubwa la vischana vya sasa! Vinaanza ugoni mapema vinadanganyana Mwisho wa cku ndo km hivyo! Niliwahi kukaa na kaschana kashemeji yangu nilitaka kukaendeleza Shule kalipofika 4m4 kaliehuka na Mwanafunzi mwenzie kila nikarekebisha hakaelewi nikakarudisha kwao! kwa sasa kapo2 kamejichokea! Ushauri wangu SUMU haijaribiwi kwa kuionja!
 
Sasa shoga ulivyopanua miguu bila condom ulitegemea nini...ningekupa pole km Ungekua umebakwa lkn kwa hiari yako hustahili pole we amua lolote cz utamu uliusikia wewe na shemeji..sisi hatukuwepo..kuna mambo ukifanya lzm ujiandae kwa lolote

Tofali, wewe hujawahi kufanya bila condom? Mpe mawazo, ni bahati mbaya jamani! Siku nyingine si mnadai zinabadilika ninyi akina dada mbona hampendani??
 
Tofali, wewe hujawahi kufanya bila condom? Mpe mawazo, ni bahati mbaya jamani! Siku nyingine si mnadai zinabadilika ninyi akina dada mbona hampendani??

Wala simchukii ndgu yangu..siku zote ukifanya jambo tegemea results zozote...ht nikifanya bila condom huwa ni safe days na ht km si safe days na utu uzima huu nikipata mimba si nazaa..ushauri azae tu asitoe mimba atajuta maisha
 
Pole dada una la kufanya.......jipe moyo Mungu atakusaidia tu. Fanya kitu kimoja. Mtafute msamaria mmoja, awe mama ambaye anaishi mwenyewe na familia yake jisalimishe kwake. Mweleze jinsi na mazingira yaliyopelekea ww kupata hiyo mimba bila kuficha chochote. Mwambie akuhifadhi na hali uliyonayo na akufanye kama mtoto wake na uko radhi kumfanyia chochote muda huu na hata ukijifungua mtoto akuruhusu uendelee kukaa kwake mpaka utakapo pata kitu cha kufanya. Onyesha tabia nzuri hata kama ya bandia lkn mwisho jitahidi umridhishe kuwa ww ni mtu mwema. Akikuamini atakusaidia.
 
People are so MEAAAAAAN. ..Gosh! Hivi hamna feelings jamani.
Jack nitumie number yako inbox. .Pls Pls I need to talk to you.
We ni mwanamke mwenzangu.
Let me be ur friend.
If ur comfortable.
 
Nimekusoma vizuri na pia nimeyasoma maushauri kibao ulio pewa na watu wema tu humu jf. Lakini naona vibaya nikaacha kutoa yalio moyoni mwangu pia.
Kwanza, nataka nikuambie kuwa, ulijishaua sana kwa huyo mtu. Ulimtesaaaa mpaka akawa hana tena sauti. Pengine ulimlia vyake saana bila pichu kushushwa, alipokupata, nguvu zoote zikamtoka na siku hiyo hiyo ukaupata uja uzito huo.
Alipokupata, akawa anafikiri atakukuta a virgin, kumbe loh!
Wadada mnaosoma hili, angalieni mambo yenu. Ukimtesa saana mtu halafu aje akukute huna bikra atakudharau tu. Pole zake dada sasa, usinywe hiyo sumu kabla hujamleta huyo kiumbe huku duniani. Mlete kwanza kwani aweza kuwa ndio rais wetu wa baadaye. Kama Obama mamake angekunywa sumu leo Amerika ingekuwa haina rais.
Ukiisha mleta, mwache basi pale pale hospitali, ujinywee hiyo sumu, wasamaria wema wamlee mtoto. Ujinga mwingine haupimiki hata kwa kilo. Ulipovua hiyo pichu ulidhani yule jamaa alikuwa anakufanyia meseji au> Ujinga mwingine bana Agrrrrrr
 
Hilo darasa na saikolojia lianze mapema. Kuna watu humu ndani hatuko sawa. lahh!
 
Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.

Mmhh Jack pole but maamuzi yako ya jana ni matokeo ya leo! Amua vema utende mema.
 
kwahio alitaka akafie Guest? pale pale alipopatia mimba? Mmmhh ni lazima JF tuwe na Kitengo cha Guidance and Counselling please Max Invisible Heaven on Earth Paloma na Wadau wengine please tuipigieni debe hii Counselling Unit maana wengi ni Wagonjwa wa mawazo hapa. may be we will save some lives and save the children of the world. Kaunga uko wapi? KOKUTONA zumbemkuu MANI vijana wanaisha kwa msongo wa mawazo sijui kyanaKyoMuhaya yuko wapi, rafiki zangu na watani zetu akina Sumu Simiyu Yetu Chabruma hiki kitengo kitatusaidia sote sijui kwanini Mentor na Mr. Rocky hawajaliona hili hadi leo Baba V na Mtambuzi mko kimya akipoteza maisha huyu you never know angetuzalia Kaprofesa avae ohoooooo.

Tujitahidi kuokoa maisha ya mtu hata mmoja tu nasi tutapa thawabu mbele za MUNGU, Please Mpenzi wangu jack 1 come down unao dada na kaka wazuri sana ambao wako tayari kwa heri au shari kukusaidia.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom