Nina ujauzito - nimekata tamaa

Nina ujauzito - nimekata tamaa

Jack 1 niko tayari kukusaidia maisha yaendeleee njoo tugangamale hapa kuuza msosi na ufugaji maisha yaendeleeee, Wanaume wapo tu na wanawake wapo tu. Tunakupenda sana
 
Jack 1 niko tayari kukusaidia maisha yaendeleee njoo tugangamale hapa kuuza msosi na ufugaji maisha yaendeleeee, Wanaume wapo tu na wanawake wapo tu. Tunakupenda sana

Hizi ni miongoni mwa7bu ninazojivunia kuwa Mtanganyika! unachukulia Serious shida ya mwingine unafeel maumivu yake daah! Hongera nyerere na Viongozi wenzako kutuachia Nch nzuri Ingawa wenye ROHO nzuri namna hii wanazidi kupungua 7bu ya uBINAFSI wewe mschana mwenye kitumbo! ona UPENDO wa waTZ wenzako!
 
Unaweza kukaa hata kwa ndugu au hata rafiki kwa kipindi hicho kigumu lakini mwanao akizaliwa tu naamini watalegeza mioyo na kukupokea wakati unapanga mipango yako ya nini chakufanya ili mtoto wako asiteseke
Hayo ni yangu.
 
Mi navyoamin mtoto kwa wazazi akui...na mtoto akin*yea kiganja na mzaz,hakuna anayeukata zaidi ya kuusafisha.. Jack1 nakushaur nenda kwa aunt..uncle zako wakusaidie kukuombea msamaha kwa wazaz wako bana. Natumaini watakusamehe.
 
Ukienda dukani kununua sumu usidai chenji jack 1.hahahahaaaaa roll
 
lazima nihudhurie matanga. Na hivyo ubwabwa sijala muda.
 
" nimeona bora ninywe sumu"
usifanye hivo dada, tatizo kama lako linawakuta wengi, mungu yupo atafungua njia.
 
Usinywe sumu huo ni uamuzi sio mzuri jaribu kuwaona ndugu zako wakuombee msamaha kama walivyoshauri memba wengine ikishindikana kabisa na ukakosa alternative basi angalia uwezekano wa kuitoa.ila hii iwe ni last last option
 
kwahio alitaka akafie Guest? pale pale alipopatia mimba? Mmmhh ni lazima JF tuwe na Kitengo cha Guidance and Counselling please @max Invisible Heaven on Earth Paloma na Wadau wengine please tuipigieni debe hii Counselling Unit maana wengi ni Wagonjwa wa mawazo hapa. may be we will save some lives and save the children of the world. Kaunga uko wapi? KOKUTONA zumbemkuu MANI vijana wanaisha kwa msongo wa mawazo sijui kyanaKyoMuhaya yuko wapi, rafiki zangu na watani zetu akina Sumu Simiyu Yetu Chabruma hiki kitengo kitatusaidia sote sijui kwanini Mentor na Mr. Rocky hawajaliona hili hadi leo Baba V na Mtambuzi mko kimya akipoteza maisha huyu you never know angetuzalia Kaprofesa avae ohoooooo.

Tujitahidi kuokoa maisha ya mtu hata mmoja tu nasi tutapa thawabu mbele za MUNGU, Please Mpenzi wangu jack 1 come down unao dada na kaka wazuri sana ambao wako tayari kwa heri au shari kukusaidia.

Kweli kabisa mkulu, itabidi tufanye mpango huo tu save life za watu.
 
pole umeshasuicide au bado?
kama bado usifanye maamuzi hayo
kwani ndo unajipalia mkaa kule jehanamu
jua ni dhambi kubwa sana kwani
hutaweza ingia mbinguni cha kufanya
mrudie Mungu wako tubu kisha
anza safari mpya ya matumaini na wala
usiwaze kutoa mimba nayo ni dhambi
acha ikue tafuta sehemu za nyumba ya
ibada nenda kasali na halafu waambie
umepatwa na jambo gani

au watafute ndugu zako wakubwa watu
wazima washirikishe jambo hilo ili wakuombee
msamaha kwa wazazi wako nao watatambua
na kujurudi na kuishi nawewe

usifanye maamuzi ya kujiua kwani haitasaidia


Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
 
kwahio alitaka akafie Guest? pale pale alipopatia mimba? Mmmhh ni lazima JF tuwe na Kitengo cha Guidance and Counselling please Max Invisible Heaven on Earth Paloma na Wadau wengine please tuipigieni debe hii Counselling Unit maana wengi ni Wagonjwa wa mawazo hapa. may be we will save some lives and save the children of the world. Kaunga uko wapi? KOKUTONA zumbemkuu MANI vijana wanaisha kwa msongo wa mawazo sijui kyanaKyoMuhaya yuko wapi, rafiki zangu na watani zetu akina Sumu Simiyu Yetu Chabruma hiki kitengo kitatusaidia sote sijui kwanini Mentor na Mr. Rocky hawajaliona hili hadi leo Baba V na Mtambuzi mko kimya akipoteza maisha huyu you never know angetuzalia Kaprofesa avae ohoooooo.

Tujitahidi kuokoa maisha ya mtu hata mmoja tu nasi tutapa thawabu mbele za MUNGU, Please Mpenzi wangu jack 1 come down unao dada na kaka wazuri sana ambao wako tayari kwa heri au shari kukusaidia.
jack 1 kupata uja uzito na kuwa abandoned is not the end of the world. Na kujiua is not the best solution, by doing so you will hurt many people around you including us.

Calm down and take time to think best solution will come out....
 
Last edited by a moderator:
Si ulitaka chai, iweje ulalamike unaungua?
 
Nyalotsi come this way ....Uzi huu hapa

Nashukuru nimeuona. I real feel sorry for this lady aisee!!! Unajua huyu ni tofauti na wale wanaochepuka na waume za watu na kupata mimba. Vijana wa siku hizi tuna shake well before use. Sasa mwenzetu dawa imemwagika anakimbia bila kufanya usafi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom