chingyeddy
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 339
- 138
majanga kwa kweli.

dada jack habari za mtoto na wewe?Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
Hizo zipi?![]()
![]()
......acha hizo mkuu!
dada jack habari za mtoto na wewe?
Kwa nn unywe sumu?maisha yana thamani kubwa sana kuliko unayotaka kuyafanya,watu humu wakikueleza matatizo yao wewe huna matatizo.Kumbuka mungu amekuumba na purpose.Ukweli ni kwamba utajifungua,utapata kazi na utapata mume mwingine mzuri tu,usirush kitu chochote,take time to think.kujiua ni uoga sio ujasiri,kujiua ni kushindwa kufikiri vizuri na kuthamini vitu ulivyonavyo.Tizama wanaokuzunguuka wana ubora gani zaid yako?katika uislam,"ukitaka kujua Mungu anakupenda sana tizama walioko chini yako".Ninaujauzito mwanaume kakataa mzazi wangu hataki hata kuniona na kasema nisikanyage kwake sina kazi nimeshindwa cha kufanya nimeona bora ninywe sumu tu nisameheni kwa maamuzi haya sina uelekeo.
Bibie nimekumiss kitambo Sana aiseeUnywe sumu kisa kukataliwa.............hebu achana na hayo mawazo
