Mr Big
JF-Expert Member
- Sep 16, 2019
- 479
- 926
Kuna somo ambalo linaambatana na miujiza...kwa miaka kadhaa nilikuwa nikifanya research kuhusu uhalisia wa baadhi ya vitu ambavyo hata mimi nimekuwa nikishangaa zaid,
When i will start mediating,na nikatamka mambo fulan au kuwaza jambo fulan basi uhalisia wa jambo lile hutokea.
Hata kama ni baada ya mda kupita..
Have been practicing to use the faith i have ili kuweka vitu vyangu vilivyo ndani ya ulimwengu wa ndani katika uhalisia na asilimia tisin vimetokea.
Kuna nguvu kubwa ambayo najua ukwel wanadam wengi hawajaifaham.pale mtu anapoamua kuitumia basi miracle and everything you say will happen.
Your faith may be a weapon against others,,,and your words may be a proclamation of what u need to happen..
When i will start mediating,na nikatamka mambo fulan au kuwaza jambo fulan basi uhalisia wa jambo lile hutokea.
Hata kama ni baada ya mda kupita..
Have been practicing to use the faith i have ili kuweka vitu vyangu vilivyo ndani ya ulimwengu wa ndani katika uhalisia na asilimia tisin vimetokea.
Kuna nguvu kubwa ambayo najua ukwel wanadam wengi hawajaifaham.pale mtu anapoamua kuitumia basi miracle and everything you say will happen.
Your faith may be a weapon against others,,,and your words may be a proclamation of what u need to happen..