Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,563
- 12,438
Mbona hufanani na majibu yakokipi ambacho ni cha dezo, tafadhali comment kwa akili sio kama hujanyoa v*zi
Mbona hufanani na majibu yakokipi ambacho ni cha dezo, tafadhali comment kwa akili sio kama hujanyoa v*zi
Haaa mtafute muhuni mpya wa sheria Pascal Mayalla atakufanyia hiyo kazi ...tena umesema waziri ndiyo muhusika wa hiyo bet basi lazima Pascal atakuja mbio maana hapo kuna kulamba AsaliNina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,
HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,
mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.
niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.
tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.
nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,
lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"
nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.
mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.
mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.
karibuni kwa ushauri.
pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Uh - Oh!Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,
HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,
mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.
niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.
tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.
nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,
lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"
nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.
mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.
mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.
karibuni kwa ushauri.
pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Ulitaka ajibuje? Hata mimi namsupport. Jitu linastress ya kutochaguliwa kwenye kazi za sensa, linaandika us*nge.Mbona hufanani na majibu yako😆
Mi mwenyewe nina app ya sportpesa tuDada Hadija pole sana,hiyo Milioni Moja ilikuwa usuke Mkeka upi(mchezo upi)naamini wewe ni Mkongwe kwenye Betting mpaka una-deposit 1ml si mchezo,binafsi naiamini sana SPORTPESA,hayo makampuni mengine naonaga kama ya kisanii
Hapo vya dezo viko wapi ikiwa kaweka pesa yake? Au hiyo mil 1 ulimpa wewe?Ndio mkome kupenda vya dezo
Aliweka 1M ili apate ngapi?Hapo vya dezo viko wapi ikiwa kaweka pesa yake? Au hiyo mil 1 ulimpa wewe?
Unaogopa nini kwenda kwenye ofisi yao?Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,
HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,
mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.
niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.
tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.
nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,
lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"
nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.
mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.
mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.
karibuni kwa ushauri.
pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,
HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,
mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.
niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.
tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.
nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,
lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"
nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.
mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.
mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.
karibuni kwa ushauri.
pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Fungua pm yako mamaNina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,
HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,
mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.
niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.
tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.
nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,
lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"
nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.
mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.
mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.
karibuni kwa ushauri.
pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Hujui kusoma?Aliweka 1M ili apate ngapi?
Pole sana dada Khadija. Mimi ni Mwanasheria. Na kwa facts ulizozi-narrate hapa inaonekana una kesi nzuri dhidi ya hiyo Kampuni, unless kama kuna taarifa hujazi-disclose.Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,
HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,
mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.
niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.
tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.
nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,
lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"
nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.
mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.
mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.
karibuni kwa ushauri.
pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Ndio mkome kupenda vya dezo
Ndio mkome kupenda vya dezo