Nina mpango wa kuwapandisha Meridianbet mahakamani, wamenidhulumu pesa nyingi sana. Mmiliki ambaye ni Waziri jiandae

Attachments

  • Screenshot_20220729-195545_Chrome.jpg
    Screenshot_20220729-195545_Chrome.jpg
    100.8 KB · Views: 28
Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,


HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,

mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.

niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.

tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.

nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,

lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"

nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.

mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.

mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.

karibuni kwa ushauri.

pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Haaa mtafute muhuni mpya wa sheria Pascal Mayalla atakufanyia hiyo kazi ...tena umesema waziri ndiyo muhusika wa hiyo bet basi lazima Pascal atakuja mbio maana hapo kuna kulamba Asali
Kwangu mimi wanasheria na mahakimu na majaji ni wahuni tu wapo kulamba asali
 
Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,


HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,

mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.

niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.

tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.

nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,

lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"

nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.

mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.

mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.

karibuni kwa ushauri.

pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Uh - Oh!

Mkuu 'khadijah Mtalame', au ni 'Khadija mtanzania'?
Utatanishi unaanzia hapo kwenye majina yako. Inawezekana huko kwenye shughuli uliyoleta hapa, pia kukawa ni matatizo tupu!

Lakini hili tuliweke pembeni.

Hii stori yako mbona ni kizungumkuti?

Hii pesa ya kuchezea inapatikana wapi siku hizi? Bila shaka ndiyo sababu hata kukawa na kampuni za kitapeli kama hiyo unayojishughulisha nayo, kwa sababu kuna pesa za kuokota hovyohovyo tu, bila ya kuvuja jasho.

Najaribu kutafuta njia ya kukupa pole, lakini nashindwa, kwa sababu naona hii pesa, Tsh milioni moja, au siyo? Huna uchungu nayo hata kidogo.

Ninachoweza kukutakia ni matokeo mema katika kutafuta hiyo pesa nyingine ya kutupa, utakayopata toka kwa hao matapeli unaonuia kuwapeleka mahakamani. Hawa watakuwa na mahela mengi tu, kwani inaonyesha wanayaokota tu kama mchanga vile toka kwa watu kama wewe.

Hebu Kwanza: Mama anaupiga mwingi kwa kuibadilisha Tanzania kuwa kama Las Vegas hivi. Hadi 2025, nchi yetu hii itakuwa imeendelea sana kutokana na mafanikio ya kazi zake hizi; na za mawaziri wawekezaji kwenye miradi muhimu kama huu wa Meridian'.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Nenda ofisini kwao makao makuu,ikishindikana hapo nenda bodi ya michezo ya kubahatisha,huitaji wakili wala kwenda mahakamani,hili suala litaishia ofisini kwao,au kwenye bodi.
 
Meridian wana mambo ya kishamba mnoo, kipindi bado nabet, nilifanya muamala kitu kama laki 3 hivi, nilikosea ile namba yangu ya akaunti, wakadai pesa imeingia kwa mwingine tena ni akaunti ipo kenya hivyo pesa hairudi, niligombana nao mwishowe nikapuuzia, wapeleke mahakamani hao kenge.
 
Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,


HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,

mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.

niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.

tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.

nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,

lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"

nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.

mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.

mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.

karibuni kwa ushauri.

pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Unaogopa nini kwenda kwenye ofisi yao?
 
Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,


HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,

mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.

niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.

tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.

nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,

lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"

nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.

mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.

mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.

karibuni kwa ushauri.

pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,


HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,

mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.

niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.

tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.

nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,

lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"

nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.

mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.

mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.

karibuni kwa ushauri.

pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Fungua pm yako mama
 
Pesa yangu fulani niliipata baada ya wiki mbili.
Jamaa wasumbufu sana.
Kuanzia usiku saa 4 huwezi kutoa pesa, hata mchana ukitoa pesa inabidi uwacheki Facebook au uwapigie ndipo waupitishe muamala wako.
Playmaster hata ukikosea kudepose wanakuwekea unakokusudia within a minute ukiwapigia tu.
Ukitoa pesa ina toka ndani ya dk 1 tu.
 
Nina mpango wa kuwapandisha meridianbet MAHAKAMANI, mmiliki ambae ni waziri jiandae,naomba ushauri,


HABARI WADAU;
kwa majina naitwa khadija, mtanzania na mteja wa muda mrefu wa kampuni tajwa hapo juu, kisa kilianza hivi,

mnamo tar 14 mwezi huu wa saba, nilideposit tshs mil 1, uthibitisho wa sms kutoka kampuni ya halolet nilipata kwamba pesa imekatwa,na imeenda kwa kampuni tajwa hapo juu, nikaamua kulogin kwa acc ya meridian ili niweze kuplace mkeka, nilikuwa nashida na mili 2 tu hivyo odd 2.

niliwasiliana na meridian muda huohuo wakaniomba info zangu, acc ID,sms ya uthibitisho na majina ya acc,nikawapatia wakanijibu nisubiri mnamo tar 15 wataweka pesa yangu.

tar 15 nikangalia hakuna pesa, nikasema ngoja nisubiri,tar 16 hakuna, nilikuwa naenda field nje ya dar kwa ajili ya kazi,nikasema ngoja niende nikirudi nitawapigia ,imefika tar 24 hakuna pesa,nikwasiliana nao tena , mara ya kwanza akapokea mwanamke tuliongea karibu dk 80 mimi ndio nilipiga majibu aliyonipa ni kwamba sina muamala wangu unaosubiri pesa. nilikasirika sana nikakata simu,nikapiga tena akapokea mwingine nikaongea nae eeeh ktk kueleweshana akasema kweli nimeuona,bado haujashugulikiwa, wakaniomba radhi waksema wanaweka.

nimesubiri wee,leo tar 29 nikasema isiwe case ngoja niwapigie tena, wakasema kwamba nina acc 2 zenye jina moja, hivyo waliweka kwenye hiyo acc nyingine, nikwaambia siitambui kwani nilireport acc ipi? wakakomaa kwamba wameweka kwenye acc hiyo nyingine, nikasema sawa, hiyo acc nalogin vipi? wakaniambia username yake ni namba yangu, nikwaomba paswd hawana,

lakini wakaniambia kwamba ninaweza kureset paswd kama namba ni yangu , nikafanya walivyonieleza nikalogin, nilivyologin hiyo pesa haipo na hata jina la acc ni "afg tza"

nikawapigia tena simu nikawambia mbona mnanidanganya? wakasema subiri tutakupigia hadi sasa hivi hawajapiga.

mimi nimechoka, nahitaji mwanasheria nguli, twende bodi ya michezo then mahakamani. nina imani wananitafutia utajiri wa maisha.

mwanasheria atakaekuja tutagawana nusu nusu ya pesa yote ya fidia tutakayopata.

karibuni kwa ushauri.

pia ninaomba namba za mh.waziri wa michezo kwa mwenye nazo tafadhali
Pole sana dada Khadija. Mimi ni Mwanasheria. Na kwa facts ulizozi-narrate hapa inaonekana una kesi nzuri dhidi ya hiyo Kampuni, unless kama kuna taarifa hujazi-disclose.

Ila nikupe angalizo tu kwamba, kumlipa Wakili baada ya kushinda kesi ni kinyume cha maadili ya Mawakili (unethical conduct); ingawa kitendo hicho kinafanyika kwa siri. Unapaswa ulipe kwanza either partly or in full (kulingana na makubaliano), ndiyo kesi iungurume Mahakamani.

By the way, unapatikana Mkoa gani?
 
Back
Top Bottom