Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Wewe si unapenda shanga mbili tu, huko nje kuna jamaa anapenda avae mzigo wa shanga.Pole by the way.
 
Sidhani kwakweli, labda atuletee mrejesho kutokana na kile kibao je bidada ameacha kutoka na rundo la shanga kiunoni?
Hapo ndio tutapata conclusion kwamba katubu au hajatubu.
Nilichogundua kelbu ni dawa hivi tangu juzi anazunguka ndani ya nyumba tuu
 
Habiiby, mahboubat
Screenshot_2017-07-08-18-47-25.png
 
Wanawake bila vichapo hawaendi ni sawa na Chama cha makinikia mtaji wao mkubwa ni ujinga Wa wananchi
 
Angekua mvulana, angekuja kuomba ushauri mke wangu anavaa shanga wakati anatoka, nifanyaje.!!!!
Na kuna tofauti kubwa sana kati ya mvulana na mwanaume Mkuu!!!
 
Muda mwingine lazima maamuzi magumu yachukuliwe, kelebu kalaza papuchi ndani..!!

Angekua mvulana, angekuja kuomba ushauri mke wangu anavaa shanga wakati anatoka, nifanyaje.!!!!
Mkuu bora hao vijana,sasa huyu mtu mzima ndio hovyo zaidi yaani mambo ya ndani kwake kayaleta hapa na nyie mnampongeza na kumpa like. Shida kweli.
 
Safi Mkuu wewe kweli umekwenda jandoni..inafika stage hawa viumbe lazima uwape vibao ndio anarudi kwenye mstari
Acha kumpa sifa za asizostahili, aliyekwenda jandoni hawezi kutoa mambo yake ya ndani ya nyumba.
 
Mkuu bora hao vijana,sasa huyu mtu mzima ndio hovyo zaidi yaani mambo ya ndani kwake kayaleta hapa na nyie mnampongeza na kumpa like. Shida kweli.
yamekuja hapa ili kuwafunza waoga wa kuweka mambo hadharani
 
Yaani ulikosea Sana kumfuata na kumpa kibao! Ungemkumbatia umbembeleze umpandishe humu kama ndo Mpya umpe shughuli Yakima. Akiwa hoi bin taabani umwambie hayo maneno sasa
 
Mkuu bora hao vijana,sasa huyu mtu mzima ndio hovyo zaidi yaani mambo ya ndani kwake kayaleta hapa na nyie mnampongeza na kumpa like. Shida kweli.

Kaweka hapa ili wengine wajifunze, kuna muda unafikia lazima mtu achukue maamuzi kama mwanaume..!!
 
Back
Top Bottom