Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Nimezikatilia mbali na safari imekufa

Kwanza hongera kwa hawa wachache niliowanukuu kwa kutoa pongezi, kwa kuwa wanarambua umuhimu wa kiongozi wa familia kuwa imara katika maamuzi na kuchukua hatua pasipo kusita.

Tukumbuke, familia ndiyo Taasisi ya kwanza katika maisha ya binadamu kijamii. Hiyo Taasisi isipokuwa imara na jamii nzima inakuwa hovyo hovyo. Kiongozi wa familia akiwa legelege, hata akipewa madaraka atakuwa hivyo hivyo. Huyo mama, kama ana madaraka katika ajira, hakika anamdanganya pia mwajiri wake na anaowasimamia. Kwa kifupi ananajisi pia madaraka yake kama amfanyavyo mme wake.

Niwaombe pia mtoe pongezi, kama hizo, kwa viongozi wa Serikali iliyoko sasa madarajani inavyowapa vibao vya uhakika wanaoenda kinyume na mila na tamaduni zetu, kama vile:
Wazembe;
Wahujumu uchumi;
Mafisadi;
Waropokaji;
Wasio heshimu utawala;
Wasio jiheshimu;
Wanafiki;
Wazushi;
Wambea;
Wanaotafuta umaarufu wa kisiasa kwa njia za kitoto;
Na kadhalika.

Naamini mmenielewa. Hivyo hao, sisi mashabiki na wafuasi, tusipige kelele wanaposhushiwa vibao.

TAFAKARI CHUKUA HATU

Mkuu " umempa Kofi safi sana... Hawa viumbe ukiwasemesha vyema wanaweza kukung'oa shingo ......

Yaani ni uvumilivu tuu la sivyo ni mikono ya damu

Muda mwingine lazima maamuzi magumu yachukuliwe, kelebu kalaza papuchi ndani..!!..

Lazima urudishe heshima kama imeanza kupotea

Wanawake wana vtuko vingi sana wakati mwingine ni bora lawama kulko hasara

Hahaha bora ulivyompa hiyo kelbu umeiokoa papuchi na msoto,hana adabu kabisa huyoo loh!!!
 
Huyu ndio yule alie kuwekea siafu kwenye nguo na wakati unajifuta dushe ukang'atwa.....
Na mbaya zaidi ulipo amka asubuhi ukakuta dudeshe limejaa mchanga, kumbe alikupa dera la zamani tena chafu ili ujifutie baada ya mgegedrooo.......
 
Salaam wadau
Huyu wife wangu jana amenishangaza na tabia moja hivi ninavyoandika bado nipo na hasira kama nitakua nakosea kuandika basi mtanisamehe,

Huyu wife mwenyewe najua ana shanga mbili tu kiunoni lakini kama miezi miwili nyuma katika pitapita yangu kwenye droo zake nikakumbana na mzigo wa haja wa shanga,nafsi ikashtuka lakini nikachukulia labda zile ni spea baada ya zile mbili zikikatika ata replace na hakuwahi kuzivaa mbele yangu,
Sasa kuna siku nimetoka kuoga na yeye anavavaa pale , nikaingia bila vishindo heee naona amevaa zile shanga,sikusema kitu akavaa akamaliza akaenda safari zake akarudi

Nikamcheki hana ule mzigo ameuvua na ameupaki pale pale kwenye eneo lake, sasa jana ndio ilikua habari nyingine ameamka bize anagawa majukumu kwa watoto ,anaaga kuna safari ya mabwepande na mimi hajanijulisha basi nikawa naendelea na shughuli zangu za kujibu meseji kwa jamaa zangu,na yeye akakaa kwenye dressing yake kuanza kujipodoa sasa mimi macho yakanilazimisha kuangalia kwenye kioo cha kabati na kabati linaangaliana na kule alikokaa yeye si naziona zile shanga amevaa

Nikauliza vipi mzigo huu umeingiza lini ananijibu kwa kujiamini upo siku nyingi..mimi mbona sijawahi uona..ooho sipendi kuvaa nikiwa nyumbani mpaka nikiwa natoka...nikaamka pale nilipokaa nikamfuata nikamwambia azivue akagoma nikazishika nikazikatilia mbali akataka kupandisha pumzi nikamkabidhi kelbu moja tu akawa hana hamu nikamuona amepanda kitandani amevuta shuka na safari imekufa,jioni nilivyorudi sikumuona pale sitting room nikauliza watoto wakasema mama leo amekula mapema na amelala mapema hakutoka hata nje ya geti

Hivi ni kimoja tu kati ya kumi tunavyotendwa
Ujue ana mwanaume huko nje anayependa hali hiyo hivyo hutumika kama asset sasa umeenda haraka ungejua mengi.
 
Ila wengine huweka mzigo wa shanga ili kutengeneza kiuno cha nyigu
 
Dah hz mada na wakati huu wa likizo jaman mbona hatari xana
 
Kwanza hongera kwa hawa wachache niliowanukuu kwa kutoa pongezi, kwa kuwa wanarambua umuhimu wa kiongozi wa familia kuwa imara katika maamuzi na kuchukua hatua pasipo kusita.

Tukumbuke, familia ndiyo Taasisi ya kwanza katika maisha ya binadamu kijamii. Hiyo Taasisi isipokuwa imara na jamii nzima inakuwa hovyo hovyo. Kiongozi wa familia akiwa legelege, hata akipewa madaraka atakuwa hivyo hivyo. Huyo mama, kama ana madaraka katika ajira, hakika anamdanganya pia mwajiri wake na anaowasimamia. Kwa kifupi ananajisi pia madaraka yake kama amfanyavyo mme wake.

Niwaombe pia mtoe pongezi, kama hizo, kwa viongozi wa Serikali iliyoko sasa madarajani inavyowapa vibao vya uhakika wanaoenda kinyume na mila na tamaduni zetu, kama vile:
Wazembe;
Wahujumu uchumi;
Mafisadi;
Waropokaji;
Wasio heshimu utawala;
Wasio jiheshimu;
Wanafiki;
Wazushi;
Wambea;
Wanaotafuta umaarufu wa kisiasa kwa njia za kitoto;
Na kadhalika.

Naamini mmenielewa. Hivyo hao, sisi mashabiki na wafuasi, tusipige kelele wanaposhushiwa vibao.

TAFAKARI CHUKUA HATU
upo sawa mkuu
 
Huyu ndio yule alie kuwekea siafu kwenye nguo na wakati unajifuta dushe ukang'atwa.....
Na mbaya zaidi ulipo amka asubuhi ukakuta dudeshe limejaa mchanga, kumbe alikupa dera la zamani tena chafu ili ujifutie baada ya mgegedrooo.......
mkuu yawache hayo ni makaburi ya kale
 
wanaume kazi ipo maana hiyo kelbo bado haijatosha kwa muonekano wa hiyo skendo katika ndoa, endelea kutafakari juu ya hiyo ndoa
 
Back
Top Bottom