ram
Platinum Member
- Oct 5, 2007
- 9,345
- 8,565
Last edited by a moderator:
Nipo Mkuu nina furaha tele ya kuchukua FA Cup kwa mwaka wa pili mfululizo na timu iko bomba sana 2 or 3 new players next season na timu yetu itakuwa ni moto wa kuotea mbali. Serena alishinda Jumamosi dhidi ya Azarenka na leo kashinda tena dhidi ya Sloane Stephens. Kwenye QF atacheza na mrembo wa kutoka Italy Erani. Umeadimika sana Mkuu.
Hahaha,....kaka, nimehamia Dar kwa muda.
Kumbe Ughaibuni speed za maisha sio kama za Dar aisee....
Dar natumia nusu siku kwenye foleni barabarani, ukijumlisha na time za kuumizana kichwa na mafundi,
na swala,...najikuta muda uliobakia hoiiiitaabani, naangalia taarifa za habari kisha nalala!
Angalau kwa wiki moja hii nimerudi kupooza kichwa uzunguni, na hivi summer imepitia pembeni (still!) aaahh, nitakuwa online muda wa kutosha. The Gunners hoyeeeeee!!!!!!
Hhahahahahahahahaahahahahahaha Kau una fuuuujo!dah nimecheka sana aseeMiss you too hubby
Nabana mpaka penalty
Jamiiforum Forum ya enzi zile si ya leo! Tahadhari unaweza kukutana na watoto kama si wajukuu mnachangia au mnatoa hoja MMU. so ni kuchungulia kufurahisha macho kama si ubongo na unakuwa umeongeza siku za kuishi kama sio miaka. JF ni free stress zone ndio maana 'tulibaha'
Nakuja MW....nna zawadi yako
Hahahaha nimekumbuka mbali sana.
Nashukuru kwa salamu mosquito Mbu.
My fellow tablet klorokwini kaniachia kazi kubwa sana ya kupunguzia watu maumivu. Malaria unayoisambaza imeshakuwa Malaria Sugu.
Mi nawasalimu dokta Riwa, carmel, @ZionDaughter, Fidel80, Teamo, NGULI, Mamushka bht, sweetlady, Kabakabana, Mwali, MwanajamiiOne, @RR, Kaizer, my super shem AshaDii, na wengine woooote
Ujumbe: Tukumbukane kupitia Radio Tanzania, Daslam.
Jamiiforum Forum ya enzi zile si ya leo! Tahadhari unaweza kukutana na watoto kama si wajukuu mnachangia au mnatoa hoja MMU. so ni kuchungulia kufurahisha macho kama si ubongo na unakuwa umeongeza siku za kuishi kama sio miaka. JF ni free stress zone ndio maana 'tulibaha'
Nipo dadaangu charminglady. Mambo yamekuwa mengi sana na umri nao unasonga kwa kasi.