Nimewakumbuka, MMU Legends

Nimewakumbuka, MMU Legends

Hahahaha nimekumbuka mbali sana.

Nashukuru kwa salamu mosquito Mbu.

My fellow tablet klorokwini kaniachia kazi kubwa sana ya kupunguzia watu maumivu. Malaria unayoisambaza imeshakuwa Malaria Sugu.

Mi nawasalimu dokta Riwa, carmel, @ZionDaughter, Fidel80, Teamo, NGULI, Mamushka bht, sweetlady, Kabakabana, Mwali, MwanajamiiOne, RR, Kaizer, my super shem AshaDii, na wengine woooote

Ujumbe: Tukumbukane kupitia Radio Tanzania, Daslam.

.....😊😊😊 pamoja bro! Wapi Smile?! Lizzy?
 
Last edited by a moderator:
Afu kipindi hii jeiefu inaanza members wengi mlichagua id kwa kuangalia mwenzio kafanyeje... Hapakuwepo na ubunifu kiviiile... Hebu cheki hapa... Mbu aneeneza Malaria Sugu ukisikia mauvu ya Kichwa unameza Asprin usipopona unakunywa klorokwini.... Hahaaa. Ningejiunga kipindi hicho nahisi ningejiita NET YA MBU..
 
Last edited by a moderator:
Afu kipindi hii jeiefu inaanza members wengi mlichagua id kwa kuangalia mwenzio kafanyeje... Hapakuwepo na ubunifu kiviiile... Hebu cheki hapa... Mbu aneeneza Malaria Sugu ukisikia mauvu ya Kichwa unameza Asprin usipopona unakunywa klorokwini.... Hahaaa. Ningejiunga kipindi hicho nahisi ningejiita NET YA MBU..

....hahhha, umeona ee? Hata Firstlady alikuwamo humu, na FirstLady1,.....
 
Last edited by a moderator:
Nipo Mkuu nina furaha tele ya kuchukua FA Cup kwa mwaka wa pili mfululizo na timu iko bomba sana 2 or 3 new players next season na timu yetu itakuwa ni moto wa kuotea mbali. Serena alishinda Jumamosi dhidi ya Azarenka na leo kashinda tena dhidi ya Sloane Stephens. Kwenye QF atacheza na mrembo wa kutoka Italy Erani. Umeadimika sana Mkuu.

....hahhhaha, Husninyo huenda ndio miongoni mwa walioolewa, jf hawaitaki teeena...

Kaka BAK, upo? Hehhhehh
 
Nipo Mkuu nina furaha tele ya kuchukua FA Cup kwa mwaka wa pili mfululizo na timu iko bomba sana 2 or 3 new players next season na timu yetu itakuwa ni moto wa kuotea mbali. Serena alishinda Jumamosi dhidi ya Azarenka na leo kashinda tena dhidi ya Sloane Stephens. Kwenye QF atacheza na mrembo wa kutoka Italy Erani. Umeadimika sana Mkuu.
Taarifa hii imfikie Sikonge popote pale alipo!.
 
Last edited by a moderator:
Nipo Mkuu nina furaha tele ya kuchukua FA Cup kwa mwaka wa pili mfululizo na timu iko bomba sana 2 or 3 new players next season na timu yetu itakuwa ni moto wa kuotea mbali. Serena alishinda Jumamosi dhidi ya Azarenka na leo kashinda tena dhidi ya Sloane Stephens. Kwenye QF atacheza na mrembo wa kutoka Italy Erani. Umeadimika sana Mkuu.

Miss you my dear BAK.Nilikutafuta tukaangalie wote game lakini haukupatikanika.Nimekumiss ile mbaya
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Tukizungumzia ma legends wa JF (achana na MMU) basi kabisa hawezi kukosekana shemegi yangu Mwafrika wa Kike.

She is/ was a trailblazer. And those were the days. I sorely miss her.

Sometimes in my own utopia I just wish one day I'd wake to see she has made a comeback. I'll continue to keep my hope alive, nevertheless.

Na kuna majina ya watu ambayo yako synonymous na JF.

Nayo ni wenu mtiifu NN, Mzee Mwanakijiji, Mzee ES/ FMES, Mwafrika wa Kike, Kyoma, Fikiraduni/ Fairplayer, Dar Si Lamu, Tibwilitibwili, KadaMpinzani, Ogah, Sam, Rev. Kishoka na Masanja. Bila kuwasahau mabwana wakubwa Mike na Max.

Hiyo ndo top tier ya legends wa JF. Bila hao hakuna JF.

Nani anabisha?
 
Siku hizi wapo wanaomzidi, tena wapo Kenya tu, siyo mbali. Corazon Mwamboka.

lilythegenie1.png


Taarifa hii imfikie Sikonge popote pale alipo!.
 
FaizaFoxy atabisha, wewe subiri tu (Veve kondaga du).

Tukizungumzia ma legends wa JF (achana na MMU) basi kabisa hawezi kukosekana shemegi yangu Mwafrika wa Kike.

She is/ was a trailblazer. And those were the days. I sorely miss her.

Sometimes in my own utopia I just wish one day I'd wake to see she has made a comeback. I'll continue to keep my hope alive, nevertheless.

Na kuna majina ya watu ambayo yako synonymous na JF.

Nayo ni wenu mtiifu NN, Mzee Mwanakijiji, Mzee ES/ FMES, Mwafrika wa Kike, Kyoma, Fikiraduni/ Fairplayer, Dar Si Lamu, Tibwilitibwili, KadaMpinzani, Ogah, Sam, na Masanja. Bila kuwasahau mabwana wakubwa Mike na Max.

Hiyo ndo top tier ya legends wa JF. Bila hao hakuna JF.

Nani anabisha?
 
Last edited by a moderator:
Nipo Mkuu nina furaha tele ya kuchukua FA Cup kwa mwaka wa pili mfululizo na timu iko bomba sana 2 or 3 new players next season na timu yetu itakuwa ni moto wa kuotea mbali. Serena alishinda Jumamosi dhidi ya Azarenka na leo kashinda tena dhidi ya Sloane Stephens. Kwenye QF atacheza na mrembo wa kutoka Italy Erani. Umeadimika sana Mkuu.

Serena
 

Attachments

  • 1433208369122.jpg
    1433208369122.jpg
    53.9 KB · Views: 129
Tukizungumzia ma legends wa JF (achana na MMU) basi kabisa hawezi kukosekana shemegi yangu Mwafrika wa Kike.

She is/ was a trailblazer. And those were the days. I sorely miss her.

Sometimes in my own utopia I just wish one day I'd wake to see she has made a comeback. I'll continue to keep my hope alive, nevertheless.

Na kuna majina ya watu ambayo yako synonymous na JF.

Nayo ni wenu mtiifu NN, Mzee Mwanakijiji, Mzee ES/ FMES, Mwafrika wa Kike, Kyoma, Fikiraduni/ Fairplayer, Dar Si Lamu, Tibwilitibwili, KadaMpinzani, Ogah, Sam, Rev. Kishoka na Masanja. Bila kuwasahau mabwana wakubwa Mike na Max.

Hiyo ndo top tier ya legends wa JF. Bila hao hakuna JF.

Nani anabisha?

Daaaaaaahhhh, e bana weeee....hao kweli ma Legendary kiukweli, halafu wakapotea kiaina. JF umaarufu wake ni uwanja wa Siasa miaka hiyo 2006+ baada ya Jambo Forum,.....huku MMU yalifuatia mazungumzo baada ya habari miaka ya 2008+.

Pia waloikuwepo kina Bubu msema Hovyo, Kandambili,....na wengi wengineo,....raha sana miaka ile...
 
  • Thanks
Reactions: ram

Similar Discussions

Back
Top Bottom