Ni wachache walio wa zamani kuliko mimi Legend wa JF!
Hiyo zamani unayoizungumzia wala hakukuwa na upendo kihivyo.
Matusi yalikuwepo sana tu na kufungiwa kulikuwepo. Kuna wanachama wengi tu wa zamani ambao walipewa vifungo vya maisha.
Hizo timu unazozizungumzia zilikuwepo. Kilichobadilika sasa ni matumizi ya msamiati 'team/ timu' tu. Lakini makundi ya kuungana mkono yalikuwepo sana.
Kuelewana kulikuwepo na pia kupishana lugha kulikuwepo. Tofauti ya sasa na zamani ni idadi ya wanachama.
La ubaguzi sina uhakika nalo sana. Kwani sasa hivi kuna ubaguzi humu?
Hapo ndipo unaponikosha. Humumunyi maneno, kama ni kisu unakiita kisu...kama ni panga unaliita panga!
Hivi member mkongwe kuliko wote humu ni Nani?
Hivi member mkongwe kuliko wote humu ni Nani?
Hahaa...Huyu Malaria Sugu alikuwa mtata sana!.Mradi Mbu kaonekana tutegemee kumuona na Malaria Sugu.
Hahaa...Huyu Malaria Sugu alikuwa mtata sana!.
Ngoja nikamtafute shoga'ngu nimuite nimwambie watu tumemkumbuka huku.
Nyani Ngabu, Mkandara, Kyoma, etc.....enzi hizo jf moto balaa...huchangii post hovyo hovyo.Hivi member mkongwe kuliko wote humu ni Nani?
Hapo ndipo unaponikosha. Humumunyi maneno, kama ni kisu unakiita kisu...kama ni panga unaliita panga!