The Boss hivi zile story zako za kila ijumaa zimeishia wapi,,,,Karibu mkuuu
we umepotea sana
Thanks kwa kutukumbuka
Hahaha daaahNipo mama, tunaishi masikio yakiwa juujuu kwasababu kipindi hiki cha kutajanatajana ni kigumu sana!!
Umemsahau dada machachari Lara1...omba asikutolee hasiraNimewakumbuka tu huko mliko jamaa zangu wa miaka ile, Uwanja wa MMU umekuwa mpana sana, siku nazo zimekwenda alhamdulillah. Anyway ni salaam tu kwenu nyote; MwanajamiiOne, Dark City, nyumba kubwa, Nyamayao, The Boss, The Finest, bht, Gaga, Kaunga, Asprin, Maty, King'asti, na wengineo weeeeengi tangia miaka ile ya 2007.
Peace and love, maisha yanaendelea
Nipo bro habari za siku nyingi Lyagwa
Nipo mpenzi ubusy wa family acha tuuuR.I.P Dena.
Bado tunakukumbuka .
Babu shikamoo.
Hii thread imenifurahisha mno kuona wanawapotevu wanarudi Asante Mbu .
Usipotee Sana. Uwe unarudi kutusalim 🙄
Maria Roza ndio kapotea jumla. Na Gaijin aka mwalimu sijui yuko wapi ? -🙁