kweli, mtazamo unategemea na mahali ulipo.
Picha ya minoti tafadhari
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Oya,mwenzio naumwa kwanini unalazimisha nicheke?aargh!Kama unauza karanga huo ni zaidi ya umilionea
Milioni moja!!!! Unakuwa milionea? Kweli umasikini ni kitu kibaya sana. Mtu unadumaa hadi akili!
Una maana ni za kuhonga.
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !
Near by Soweto Mbeya Tanzania.
Kariakoo sehemu gani ndiko wanako uza bastola? Nielekeze maduka ya jumla
Kazihifadhi Uswisi mkuu.
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Hahahahaaaa We mzee hivi huwa huishiwi Vituko?