Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,224
- 166,276
- Thread starter
- #121
Last edited by a moderator:
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Mna majungu nyie watoto, sijawahi kuona.
haya bhana, umeshinda.umeona eenh! haya mjungu tumeyanunu china tunayakodisha kwa wanaofanya sherehe za kipaimara/komunio/kibao kata/kutoa mahari/utambulisho wa mchumba etc.
vipi? tayari tukukodishe?
cc Vin Diesel
haya bhana, umeshinda.
Mzima lakini?
ndivyo walivyoWatu wengine bhana!!!
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana