kapuyanga mkware
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 589
- 144
Tz ni kati ya nchi zenye mamilionea wengi duniani
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
jambo amu?
Mna majungu nyie watoto, sijawahi kuona.mi naogopa bana............isije next year ikawa kuna kipele uchungu tena! bora tukeshee hapo hapo kebbys
cc Vin Diesel
Weee Masaai, hebu njoo nikugawie MBESA ukanunue ng'ombeHahahahaaaa We mzee hivi huwa huishiwi Vituko?
Wivu tu....Hana ujanja wa kuwa mzee
Sijambo wangu
Hey! Why you guys are so serious in everything?the guy is trying to be funny ,stop fuming be happy and celebrate with him by having some kinana baridiiii! how frigid wabongo's minds!Milioni moja!!!! Unakuwa milionea? Kweli umasikini ni kitu kibaya sana. Mtu unadumaa hadi akili!
Weee Masaai, hebu njoo nikugawie MBESA ukanunue ng'ombe
Ka picha basi.Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Njoo kule JF doctor nataka kumpima u great thinker mkuu MziziMkavu.
Topic ni kuhusu blood type na tabia ya mtu.
mi naogopa bana............isije next year ikawa kuna kipele uchungu tena! bora tukeshee hapo hapo kebbys
cc Vin Diesel