Nimeuaga umasikini, sasa ni milionea.

Nimeuaga umasikini, sasa ni milionea.

Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana

hongera mkuu bujibuji inaonekana ndo mara yako ya kwanza kushika mil 1
 
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana

Picha ya minoti tafadhari
 
Imagine the same figure in US $

Peanuts.

image.jpg image.jpg
 
...mkuu! hongera!
...ni PM tukutane MlimaniCity!
 
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana

Milioni moja!!!! Unakuwa milionea? Kweli umasikini ni kitu kibaya sana. Mtu unadumaa hadi akili!
 
Kuna pimbi mmoja alipata zali kama lako, akafanya sherehe na kualika ukoo wake karibu wote.
Alipoulizwa lengo la hiyo party, kwa kujigamba aliwaambia ndugu zake
Ndugu zangu nimewaita, kuwataarifu, kuanzia leo me si maskini, nimeuaga umaskini.
Kilichotokea ustake kujua! Jamaa pesa ilishaisha sasa kachoka zaidi ya mbwa kachoka!
 
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Mimi nilifikiri una Mllioni moja Dollar? kumbe una shillingi Millioni Moja Pesa ya machungwa? Watu huku nje wana Dollar Millioni 1 Wa-Tanzania na tunawaona hawana pesa khaaaaa wewe unafurahisha sana.Mkuu Bujibuji
 
Last edited by a moderator:
kumbe ni shilingi mkuu,..

Ahya hongera,..
 
Back
Top Bottom