omary mwene
JF-Expert Member
- Nov 6, 2013
- 293
- 55
Da hafadhari brazer, nilikuwa nashida kidogo ya laki 2 unipe,mungu akipenda ntakuombea dua ukinywa soda nyingine upate hata soda ya bure.
Hahahah niliposoma heading ya thread na kugundua ni kutoka kwako nilijua nitakutna na kitu kama hiki...huishi vituko mkuuWana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo. Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea. Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde. karibuni sana
Mimi sio wa ajabu, ni wa NGUDUHe! We kweli wa ajabu. Umeshinda kamilioni kamoja ndiyo umekuwa milionea!!! Mie nilidhani biashara yako imekubali umepata faida kubwa sana na unaendelea vizuri. Toa budget tuone kama kweli utaweza kutoka na hela uliyoipata kwenye kamali!!!
Mimi nilifikiri una Mllioni moja Dollar? kumbe una shillingi Millioni Moja Pesa ya machungwa? Watu huku nje wana Dollar Millioni 1 Wa-Tanzania na tunawaona hawana pesa khaaaaa wewe unafurahisha sana.Mkuu Bujibuji
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Mimi nina mapesa mengi, sema nikupe shilingi ngapi ukaongeze mke uzaramoni? Pia nitakulipia mahari na ngoma ya kukesha mwezi mzima.Mimi nilifikiri una Mllioni moja Dollar? kumbe una shillingi Millioni Moja Pesa ya machungwa? Watu huku nje wana Dollar Millioni 1 Wa-Tanzania na tunawaona hawana pesa khaaaaa wewe unafurahisha sana.Mkuu Bujibuji
Kaka, kwani wee ni mgeni hapa mjini?Ukiwa na MIlioni moja nawe ni MIlionea... Na ukiwa na laki moja
Njoo kule JF doctor nataka kumpima u great thinker mkuu MziziMkavu.Mkuu,
watch out ur posts!! Kwanini unapenda sana kusema "huku nje"?? Au unaona watu watakushangaa sana kuwa nje?? Na umeonesha dharau kwenye tshs. Mil 1, (u dnt joke) as if unayo, wakati wewe ni muuza dawa za kienyeji wa tegeta, lakini unajifanyaga upo nje. Kisa, huwa una'download picha kwenye net, unapost na kujifanya unamiliki kinachoonekana kwenye picha! Too childsh.. How old are u? Have u ever been abroad?
Wadau,
Simsemi vibaya huyu jamaa, ila anaboa sana. Fungueni post zake mzisome, hasa zile za kuuza dawa zake za kienyeji.. Then u wil prove me right!
Badilika braza/sista..
Bragging sana wewe!