Nimeuaga umasikini, sasa ni milionea.

Nimeuaga umasikini, sasa ni milionea.

He! We kweli wa ajabu. Umeshinda kamilioni kamoja ndiyo umekuwa milionea!!! Mie nilidhani biashara yako imekubali umepata faida kubwa sana na unaendelea vizuri. Toa budget tuone kama kweli utaweza kutoka na hela uliyoipata kwenye kamali!!!
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
 
Karibu ulimwengu wetu wa mamillionaire mkuu bujibuji. Ngoja niwasiliane na wadau tukuongeze kwenye list yetu.
Nimekutumia pm ya my number unitumie ya vocha ili nifanikishe mawasiliano!
Welikamu to awa milionea klab!
 
Kuna watu wanachangia huu uzi wako serious sana.
 
Bravo bravo Bujibuji kumbuka no new friends komaa na sie wazamani mwayego kumbuka pia misoto yetu
No new friends
 
Last edited by a moderator:
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana

He, mbona watu wanakucheka na kukudhihaki?!!...ina maana watanzania ni mburula kiasi kwamba hawajui mtu anayemiliki kuanzia millioni ni millionea?!!! Hongera sana Mzee, Hongera Mjomba. Sasa Mjomba, teh teh...unajuaaa...nanii, unajua kale kabinti ketu kamefauru mtihani wa darasa la saba, eeh..kale kenye akili sana, sasa nilikuwa naomba unipige tafu kahela ka ada kidogo...ndiyo, unajua wewe roho yako ni kama ya baba yako, baba yako alikuw amtu shujaa, alikuwa mwema sanaa!
 
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana

Daa hongera mwana Bujibuji'' mazari kama hayo hayajanikutaga!! Nabadilisha mpango badala yakunywa pepsi 6 kwasiku' kuanzia leo rasmi takuwa nakunywa kreti moja nusu 7up nusu pepsi huenda likaniangukia!! Hebu nipe mauzoefu ulikuwa unakunywa soda gani vile? Maana huenda zali lipo kwenye hizohizo namm nianze kuzifakamia!
 
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Ukiwa na MIlioni moja nawe ni MIlionea... Na ukiwa na laki moja
 
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana


Hongera sana Buji...ili umaintain status yako ya umilionea hakikisha hutumii hata senti moja vinginevyo utakuwa demoted mpaka lakionea....
 
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana

Hongera, anzisha biashara mpya ya kuuza maandazi, amini hutafilisika!!
 
Back
Top Bottom