MBIIRWA
JF-Expert Member
- May 24, 2013
- 2,695
- 5,579
Kaka, kwani wee ni mgeni hapa mjini?
LAKI SI PESA
Nina shaka na wanaojiita mamilionea na Bilionea
Kaka, kwani wee ni mgeni hapa mjini?
LAKI SI PESA
Naomba unielekeze wanapouza mikufu ile mikubwa kama minyororo ya kufungia makontena
Naomba unielekeze wanapouza mikufu ile mikubwa kama minyororo ya kufungia makontena
...mkuu! hongera!
...ni PM tukutane MlimaniCity!
Mimi sio wa ajabu, ni wa NGUDU
Ingekuwa mimi ndo nimezipata hizo, haraka sana ningeenda kushughulikia umiliki wa bastola
Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
mkuu hizo sehemu sizifahamu sana ila ninazifahamu bar maalufu kama namna gani vipi nikupeleke!Naomba unielekeze wanapouza mikufu ile mikubwa kama minyororo ya kufungia makontena
nenda sasa kaishi Arusha ili uwe bilionea...
Ukiwa na MIlioni moja nawe ni MIlionea... Na ukiwa na laki moja
Bujibuji ifanyie biashara hiyo hela...kuna jamaa anauza vifaaa full set vya DSTV kuonyesha mpira, ligi Uingereza live bila chenga kule Mbagala...si wajua tena, pesa lazima izae?Wana JF wenzangu napenda nishiriki nanyi furaha niliyonayo.
Kuanzia leo nimeingia kwenye ulimwengu wa watu wenye pesa nyingi, mamilionea.
Nimeshinda shilingi milioni moja kwenye shindano la fungua kizibo na ushinde.
karibuni sana
Umberto Agnelli - Wikipedia, the free encyclopediaMkuu Bujibuji wakikusikia watu wa R chuga wewe. Utaitwa Umberto Agnelli mda si mrefu.