mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,585
- 11,268
Mwaisa kaa mbali na pcKimbia fasta mkuu
Mwaisa kaa mbali na pcKimbia fasta mkuu
HaaahaaaaJichanganye sasa utajua hujui,hao ni wapopo mambo ya cyber crime wapo vizuri.
May be hata ni Mtz,we mjibu my fellow African I know your handwriting,or wambie we pia ni con.
Jifanye tajiri una dola 50M unataka zihamishaia kwenye account yake utaona kaingia mitini ghafla.[emoji16][emoji16][emoji16] sawa mkuu, naona wadau wakinambia ntalizwa, sasa sielewi ntalizwa vipi maana hii namba haina connection zozote na akaunti yangu ya benki, pia mpesa hakuna kitu, afu pia mtandaoni nina akaunti Samsung, google na microsoft pekee.
"there is no free lunch my friend"... waswahili wakamilizia "hakuna cha bure mzeia"...Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.View attachment 2190443
😂😂 me nae nimetumiwa huyo huyo, demu mzur hvi anakuwa tapeli c aje nimuoe tu
MatapeliNikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.View attachment 2190443
....Kimbia!...Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.View attachment 2190443
Nakazia: Tena fasta kwa speed ya 4G au zaidi.Kimbia fasta mkuu
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.View attachment 2190443
kwenye Magroup wapo sana hao na pia kama una namba ya whatsap facbokkKwanza huyo kaipataje namba yako ya whatsap?
Ova
Hii inaitwa chizi kakutana na mwenye stress😂😂Mwingine huyu, nimemfanyia uhuniView attachment 2191046
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.View attachment 2190443
Hahahahaha.......bado hujamshauri nini afanye against meseji hiyo! Aendelee au akimbie? Au hadi akutumie hiyo kilo 1?Ok nimefanya kusearch picha mojawapo hiyo ambayo yupo mbele ya fensi, huku kuna ukoka na amevaa sare za unesi.
Nimekuta kwamba originally hiyo picha ilipostiwa facebook na member anayetumia jina la 'footdocdana' na hata picha ya fb ina hiyo nembo ya 'footdocdana' so aliyekutumia picha ameondoa hilo jina.
Nikaingia kwenye profile ya huyo member nikakuta kwamba ni public figure na hiyo picha ni ipo facebook ikitokea kwenye instagram page yake. Na instagram page ina jina la 'footdocdana'
Kule na facebook nikakuta picha nne ulizotumiwa.
Uliyenaye Whatsapp ni tapeli.
Nimescreenshot ig page yake.
Mimi ni specialist wa internet safety na hii huduma niliyokufanyia huwa nacharge 250,000/= ila kwakua leo ni sikukukuu nitapokea 100,000/=.
View attachment 2190490
Jana nilicheka mwenyewe nilivyokuwa namuandikia hizo sms. Hawa jamaa inatakiwa pia uwakere na uwapotezee muda wao.Hii inaitwa chizi kakutana na mwenye stress😂😂