Masuala ya kazi yanatoka wapi hapa mkuu, kwani wewe kuwa hapa jamiiforums uko kazini? Au kuna watanzania wanaokuja kula kwako kwa sbb hawafanyi kazi??Tufanye Kazi kwa Bidii waTanzania wenzangu. Hakuna cha bure wala mserereko kwa sasa. Ukipenda kuteleza kwakutumia ganda la Ndizi utadondoka!
Ila siku zote nina amini ikitokea shortcut's ambayo ni halali na isiyo na chembe z utapeli pita nayo
[emoji16][emoji16][emoji16] sawa mkuu, naona wadau wakinambia ntalizwa, sasa sielewi ntalizwa vipi maana hii namba haina connection zozote na akaunti yangu ya benki, pia mpesa hakuna kitu, afu pia mtandaoni nina akaunti Samsung, google na microsoft pekee.Mkuu, Hivi ukipokea ujumbe kama huu; "Tafadhali, ile hela nitumie kwa namba hii......" Utatuma?
Kwa vyovyote vile hutatuma kama hukuwa na mpango huo, urafiki hauombwi hivyo huyo jamaa mjibu tu kwa kifupi... ' It's good to know you and I wish you success in your endeavors' ... au vyovyote utakavyoona inafaa matapeli mtandaoni wako wengi, utalizwa.
Mbona picha alizokuambatanishia wewe umeziminya hautaki hadhira tuzione?Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, ebu tieni neno wakuu.View attachment 2190443
Ni namba ya simu.Kwanza huyo kaipataje namba yako ya whatsap?
Ova
Picha zipo hapo juu mkuu, kuna mdau ashazifanyia kazi na kupata akaunti halisi, mimi siwezi kuibiwa kizembe mkuu mambo ya zamani mno haya, acha anisaidie kusindikiza pasaka[emoji1]Mbona picha alizokuambatanishia wewe umeziminya hautaki hadhira tuzione?
Anataka akuingize mkenge chanzo kutafuta urafiki wa kalamu!
Hata hivyo nchi alizozitaja yeye kuzipenda, sifa hiyo wewe hauna maana hauziishi.
Mambo mengine yanayokufuata, si lazima uyafanyie kazi kwa muda huo.
Waweza kuya PA kwa muda limited kisha ukayafuatilia siku za usoni ili kuupata ukweli kwa faida ya kujiridhisha.
Kama ni utapeli utakuja kuufahamu tu, maana tapeli ana pupa, hana subira, hivyo subira ni chekecha la kuchambua ukweli na uongo.
Kulizwa watu wanakomaanisha ni kuingizwa kwenye ushawishi ambao utakuvutia baadaye.[emoji16][emoji16][emoji16] sawa mkuu, naona wadau wakinambia ntalizwa, sasa sielewi ntalizwa vipi maana hii namba haina connection zozote na akaunti yangu ya benki, pia mpesa hakuna kitu, afu pia mtandaoni nina akaunti Samsung, google na microsoft pekee.
Hii niliipata nikaingia naye whatsapp.Kuna wengine hao. Ila ninashangaa wanapataje namba za simu? Hiyo meseji imefika kwa SMSView attachment 2190492
Mkuu umetaka ushauri JF na humu kuna hazina kubwa ya watu wenye uzoefu wa kugundua mienendo ya kitapeli ... Jamaa amejipamba tayari na anakutaka na wewe ufunguke, ukitaka kuhakikisha kuwa wanaokushauri humu wako sahihi, basi jifanye unataka urafiki nae uone mwisho utakuwaje. Kwa hakika utajifunza kitu.[emoji16][emoji16][emoji16] sawa mkuu, naona wadau wakinambia ntalizwa, sasa sielewi ntalizwa vipi maana hii namba haina connection zozote na akaunti yangu ya benki, pia mpesa hakuna kitu, afu pia mtandaoni nina akaunti Samsung, google na microsoft pekee.
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, ebu tieni neno wakuu.View attachment 2190443