DreezyD98
JF-Expert Member
- Nov 6, 2020
- 1,613
- 2,884
Usipokuwa makini unaliwa kichwaHii niliipata nikaingia naye whatsapp.
Akanitumia maelekezo ambayo yanahitaji nideposit 10,000 kwenye akaunti zao kisha ndiyo nianze kufanya kazi.
Nilichohisi huenda ni roboti.
Maana ukiuliza swali hata la aina nyingine jibu linalokuja ni la kukueleza juu ya mfumo wao unavyofanya kazi.
Mtu wangu wa karibu akawa approached pia.
Huyu mtu wangu wa karibu tuna sifa sawa;
- Wote ni job seekers.
- Wote tupo linked in.
- Wote tumeapply in same company recently.
Nikahisi namba wametoa huko.