Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

josephwaara

JF-Expert Member
Joined
Jun 18, 2016
Posts
304
Reaction score
640
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nikaijibu baada ya kutafakari kwa muda kama dakika 20 hivi maana nlipitia kwanza mtandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.

Nimejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.
Screenshot_20220417-091130_WhatsApp.jpg
 
Tufanye Kazi kwa Bidii waTanzania wenzangu. Hakuna cha bure wala mserereko kwa sasa. Ukipenda kuteleza kwakutumia ganda la Ndizi utadondoka!

Ila siku zote nina amini ikitokea shortcut's ambayo ni halali na isiyo na chembe z utapeli pita nayo
 
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, ebu tieni neno wakuu.View attachment 2190443
Picha zingine 4 zikwapi?

Hao ni matapeli wa kisasa.

Sambaza huu ujumbe kwenye makundi mengine ya WhatsApp au mitandao mingine.
 
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, ebu tieni neno wakuu.View attachment 2190443
Same old shit. Message za matapeli uandishi ule ule wa miaka ya 2010
 
Jichanganye sasa utajua hujui,hao ni wapopo mambo ya cyber crime wapo vizuri.
May be hata ni Mtz,we mjibu my fellow African I know your handwriting,or wambie we pia ni con.
 
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, ebu tieni neno wakuu.View attachment 2190443
Hao ni wanaijaaa...matapeli tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom