Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

Halafu mara nyingi wanadai wana fedha za kurithi kwa marehemu Mume ambapo maelekezo ya marehemu ni kwamba sehemu ya fedha hiyo itolewe Afrika kama msaada kwa Yatima na ameona wewe unafaa kwa kazi hiyo. Wanaahidi Gawio kwako.
Hahahaha noma sana mkuu. Me nilitumiwa mpaka picha na video za zawadi ambazo ningetumiwa baada ya kuwatumia kiasi cha fedha.
 
Hahahaha noma sana mkuu. Me nilitumiwa mpaka picha na video za zawadi ambazo ningetumiwa baada ya kuwatumia kiasi cha fedha.
Oiyeyai. Mie alikuwa binti na akanitumia picha yake (nakiri ni pisi kali bro.)na ya marehemu mume wake na ya ajali iliyosababisha kifo cha huyo mume kwenye e-mail yangu. Akazidi kunisisitiza kwamba shughuli ya usimamizi wa Mirathi imeshakamilika isipokuwa bado tu kipengele cha kuwapata Mayatima Tanzania. Yeye ni mtu kutoka Australia. Akataka akaunti yangu ili aweze ku-deposit hundi ya US dollars 25,000. Aisee, Mradi huo ulinitamanisha sana (ukizingatia hali zetu hizi) lakini nikamshtukia. 😳 😳
 
wiziw
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nikaijibu baada ya kutafakari kwa muda kama dakika 20 hivi maana nlipitia kwanza mtandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.

Nimejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.
View attachment 2190443wizi wa kizamani
 
Oiyeyai. Mie alikuwa binti na akanitumia picha yake (nakiri ni pisi kali bro.)na ya marehemu mume wake na ya ajali iliyosababisha kifo cha huyo mume kwenye e-mail yangu. Akazidi kunisisitiza kwamba shughuli ya usimamizi wa Mirathi imeshakamilika isipokuwa bado tu kipengele cha kuwapata Mayatima Tanzania. Yeye ni mtu kutoka Australia. Akataka akaunti yangu ili aweze ku-deposit hundi ya US dollars 25,000. Aisee, Mradi huo ulinitamanisha sana (ukizingatia hali zetu hizi) lakini nikamshtukia. 😳 😳
Daa hawa matapeli ni noma aisee
 
Ok nimefanya kusearch picha mojawapo hiyo ambayo yupo mbele ya fensi, huku kuna ukoka na amevaa sare za unesi.

Nimekuta kwamba originally hiyo picha ilipostiwa facebook na member anayetumia jina la 'footdocdana' na hata picha ya fb ina hiyo nembo ya 'footdocdana' so aliyekutumia picha ameondoa hilo jina.

Nikaingia kwenye profile ya huyo member nikakuta kwamba ni public figure na hiyo picha ni ipo facebook ikitokea kwenye instagram page yake. Na instagram page ina jina la 'footdocdana'

Kule na facebook nikakuta picha nne ulizotumiwa.

Uliyenaye Whatsapp ni tapeli.

Nimescreenshot ig page yake.

Mimi ni specialist wa internet safety na hii huduma niliyokufanyia huwa nacharge 250,000/= ila kwakua leo ni sikukukuu nitapokea 100,000/=.

View attachment 2190490
Hiki ndicho nilichokisema kwamba picha zimetolewa mtandaoni mwenye picha hajui chochote.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom