Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

Nimetumiwa ujumbe huu WhatsApp

Kataa wahuni by Mr Makunyanzi (Polepole)
 
kuna wengine wapo kwenye magroup ya whatsaap wanalazimisha kusave namba zao hili kupata urafiki alafu vinajifanya vitoto vya kike.kesho tu ukiingia king kinaomba pesa
 
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nkaijibu baada ya kutafakari kwa muda km dakik 20 hivi maana nlipitia kwanza mttandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.
Nmejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.View attachment 2190443
Hebu hizo picha alizokutumia. Maana Nina jamaa yangu nae ametumiwa msg hiyo hiyo na mtu anayejifanya kuwa ni demu, then alituma pia na picha kadhaa akiwa na nguo za blue
 
Beware, that is a hook! The moment you grab it, then the sinker and line you will regret it. Those are 419er at work.
 
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nikaijibu baada ya kutafakari kwa muda kama dakika 20 hivi maana nlipitia kwanza mtandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.

Nimejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.
View attachment 2190443
Jana pia nilipokea ujumbe huohuo na country codw hiohio

Aah sikuusoma sana nikablock

block mkuu
 
Lingine hili

ni blocking tu

7E0767D5-E07A-4352-9CF6-5BAE1FFD143F.png
 
Ok nimefanya kusearch picha mojawapo hiyo ambayo yupo mbele ya fensi, huku kuna ukoka na amevaa sare za unesi.

Nimekuta kwamba originally hiyo picha ilipostiwa facebook na member anayetumia jina la 'footdocdana' na hata picha ya fb ina hiyo nembo ya 'footdocdana' so aliyekutumia picha ameondoa hilo jina.

Nikaingia kwenye profile ya huyo member nikakuta kwamba ni public figure na hiyo picha ni ipo facebook ikitokea kwenye instagram page yake. Na instagram page ina jina la 'footdocdana'

Kule na facebook nikakuta picha nne ulizotumiwa.

Uliyenaye Whatsapp ni tapeli.

Nimescreenshot ig page yake.

Mimi ni specialist wa internet safety na hii huduma niliyokufanyia huwa nacharge 250,000/= ila kwakua leo ni sikukukuu nitapokea 100,000/=.

View attachment 2190490
mmh 😅😅😅😅😅 mbona simple

anaeza chukua hio picha afu anaenda google ana search kutumia “picha” very simple

ushushe bei sasa 😅😅😅
 
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nikaijibu baada ya kutafakari kwa muda kama dakika 20 hivi maana nlipitia kwanza mtandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.

Nimejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.
View attachment 2190443
Ndugu zake Zainabu hao
 
Nnakumbuka ni kitambo sn walinipotezea muda sn internet ya kulipia nnalipia muda kwenda kujibu msg zake nnajua nnatusua muda sio mrefu alivyoanza mambo ya kunitaka mambo ya Ku deposits hela tu ndio nikaacha mwenyewe sina hata mbuni nna deposit nn hila ningekuwa nna hela ningepigwa jamaa yupo vizuri balaa alikuwa ananitumia hadi form za kujaza ,sasa HV nikiona hzo msg sihangaiki nazo
 
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nikaijibu baada ya kutafakari kwa muda kama dakika 20 hivi maana nlipitia kwanza mtandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.

Nimejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.
View attachment 2190443
Mama anaupiga mwingi,

Kupata marafiki wa mitandaoni tena kutoka Mamtoni ni Juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita, akimaliza minne yake apewe mingine 10.
 
Alafu usiwe mchoyo vzr kula na wenzio, mbona umeziba namba zake?, siungeziweka hadharani miamba tuchangamkie fursa
 
Nikiwa nmetulia zangu jana jioni ikaingia meseji ya namba mpya whatsapp, Hello, nikaijibu baada ya kutafakari kwa muda kama dakika 20 hivi maana nlipitia kwanza mtandaoni nione hiyo code ya +229 ni ya nchi gani, nkajibu, Yeah. Mazungumzo yakaishia hapo.
Leo asubuhi kantumia hii msg na picha 4.

Nimejiuliza maswali mengi ila majibu sina, wanatoa wapi namba zetu hawa wahuni wakuu.
View attachment 2190443
Utapigwa soon [emoji2][emoji2]
 
Jana nilicheka mwenyewe nilivyokuwa namuandikia hizo sms. Hawa jamaa inatakiwa pia uwakere na uwapotezee muda wao.

Nakumbuka Wale wa kipindi kile wa kupiga simu huku wanajifanya kukufahamu niliwahi wakera hadi wakanitukana na kuniita tapeli. Jamaa walinipigia saa 6 mchana kuwa wananifahamu, kisha akaniunganisha na mwenzake anipe dili. Mimi nina namba ya voda wao wana Airtell na Tigo. Nikambipu wa Airtell walioniunganisha naye, nikaanza ongea naye huku najivuta kwa dakika 8. Jamaa akaniunga na wa tigo, nikambipu, akapiga nikaongea naye kwa dakika 10. Kila akiniseti nakubali na nina onyesha nina shida sana ya pesa. Akasema niwatumie 300,000 nikakubali.

Baada ya muda nikambipu wa Airtell akanipiga, nikaongea nae dakika 15. Nikawa najiongelesha na muaminisha namtumia pesa. Nikambipu wa tigo, akanipiga nikaanza ongea naye tena kwa dakika 5. Nikawaambia subiri, nawatumia pesa sasa hivi. Nikawaambia naenda tafuta pesa na nikakaa kama saa 1 nikambipu wa tigo, tukaongea dakika 10. Nilikuwa naongea kwa kujivuta na kuwaaminisha nina pesa mkononi nawatumia. Nikamuuliza sasa pesa namtumia nani, akaniambia nimtumie mjomba wake aliyeniunganisha naye. Yule mwenye namba ya airtell. Saa 11 jioni, Nikamtumia sms wa airtell anipigie, akanipigia nikaongea naye tena kwa kujivuta na kuonesha nina hamu na pesa ya dili wanalonipa na 300,000 waliyotaka niwatumie nimeipata na nitaituma kisha"nikamwambia nyie hamuwezi nitapeli kumbe mnatapeli kiboya hivyo"

Hahaaaaaa jamaa akaanza nilalamikia kuwa kama nilikuwa najua wanachotaka nifanyia kwanini nilikuwa nawabipu, watumia sms na kuonesha kuwa nimekubaliana nao. Nimewapotezea muda na dakika zao za simu. Akaniita we tapeli tu na akaanza tukana.
Mkuu wewe😂😂😂 hakika uliwakomesha, ila nao huwa wanawapata watu na kuwatapeli, mimi huwa nikiona tu maongezi yao siyaelewi nawaambia tu nyie tapeli nimewagundua basi wanakasirika na kukata simu. Hiyo ya kwako ni komesha😀
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom