Nimetapeliwa Sinza

Nimetapeliwa Sinza

Kwenye sheria za mikataba ya kuuziana ardhi/nyumba kuna principle moja inasema "caveat emptor" aka "let the buyer be aware".

Sheria hii inatokana na kwamba wakati muuzaji huwa anakuwa na habari kuhusiana na ardhi/nyumba anayotaka kuiuza, mara nyingi mnunuaji anakuwa hana habari za kutosha kuhusiana ardhi/nyumba anayotaka kuinunua.

Kwa hiyo, muuzaji anaweza kuficha baadhi ya habari muhimu kuhusiana na anachouza. Hapo mnunuaji lazima afahamu hizo habari. lazima awe makini kwa kujidhihirisha mwenyewe mmiliki halali wa hiyo nyumba.

Ukiwa kama mnunuaji ulitakiwa ujue kwanza mmilikaji halali wa hiyo ardhi/nyumba. Kwa maelezo yako, inaonyesha kuwa hukufanya checks kujua kama kweli "muuzaji" alikuwa mmiliki halali wa hiyo nyumba.

Yaani mtu hawezi kukupigia simu na kukuambia kuwa "njoo kwa Remi kuna nyumba" na wewe ukaenda, then baada ya kuiona nyumba ukaenda moja kwa moja "makongo kwa Mwenye nyumba" na kumlipa bila hata kuhakikisha kuwa kweli yeye ni mmiliki halali wa hiyo nyumba.

How come unampa mtu pesa zote hizo bila hata kumtaka adhibitishe kwanza kuwa anamiliki hiyo nyumba kisheria? Even the richest person on earth hatafanya hivyo.

Pole kwa yaliyokukuta lakini as a buyer, you should have been aware. I hope wewe na wengine watajifunza ili in future msiingizwe tena mkenge kiulaini hivyo. Hata hivyo, this is not one of those things you should have learned in a hard way.

Thank you very much!!!
 
Mkuu MODFIELD! ID isikusumbe soma vizuri hiyo post chukua hii kama changamoto!Nitakapo wapata hawa watu nitakuja tena kwenu na nitawapiga picha

Kimsingi Hekaya nimeguswa sana na hiki kisa kwa sababu naelewa namna pesa inavyopatikana kwa tabu. Nakupa pole sana ila ufanyie kazi ushauri nilokupa. Polisi wadogo wakianza kukuzingua nenda mbele ikiwezekana mpaka kwa Kova, usoiwe mwoga nenda tu utapata msaada. wapo watakaoguswa na hili
 
Kimsingi Hekaya nimeguswa sana na hiki kisa kwa sababu naelewa namna pesa inavyopatikana kwa tabu. Nakupa pole sana ila ufanyie kazi ushauri nilokupa. Polisi wadogo wakianza kukuzingua nenda mbele ikiwezekana mpaka kwa Kova, usoiwe mwoga nenda tu utapata msaada. wapo watakaoguswa na hili

Ahsante mkuu!Dalali wa kwanza tulimkamata tukampeleka pale polisi alikutwa na million mbili na nusu na simu NNE akalala polisi siku moja kesho yake akawa huru
 
aiseee
pole sana

kwa wakati ujao ni vyema mikataba ya upangaji ihusishe viongozi wa serekal za mitaa ambao mara nyingi wanafahamu wamiliki wa nyumba.

mkuu hiyo pesa ni nyingi but umeilipa kienyeji sana daa.. once again pole
 
Mtazamo!Mwenye nyumba halisi wa ile nyumba ya Sinza kumbe anaishi Arusha lakin huyu Fred alitupeleka kulipia Makongo juu kwenye nyumba tunaambiwa ni ya MOSHI Majungu alikuwa mchezaji wa zaman wa Yanga

Mkuu usijekuwa unatuletea Hekaya za Abunuasi humu jamvini mkuu? Ina maana Moshi Majungu naye Amejiingiza kwenye biashara ya utapeli?
 
Ahsante mkuu!Dalali wa kwanza tulimkamata tukampeleka pale polisi alikutwa na million mbili na nusu na simu NNE akalala polisi siku moja kesho yake akawa huru

hapa sasa jibu limepatikana! hiyo milioni mbili na nusu ndo imemtoa! jamaa kahonga amini usiamini...ndo maana yupo huru sasa!
 
Fanya mambo kininja ninja.. tafuta wahuni wa mtaani wape chochote..wamuweke kwenye kanyampasiila.. atazitapika pesa zako
 
aiseee
pole sana

kwa wakati ujao ni vyema mikataba ya upangaji ihusishe viongozi wa serekal za mitaa ambao mara nyingi wanafahamu wamiliki wa nyumba.

mkuu hiyo pesa ni nyingi but umeilipa kienyeji sana daa.. once again pole

Ahsante,Mkataba upo lakin tumegundua ni fake
 
Kimsingi Hekaya nimeguswa sana na hiki kisa kwa sababu naelewa namna pesa inavyopatikana kwa tabu. Nakupa pole sana ila ufanyie kazi ushauri nilokupa. Polisi wadogo wakianza kukuzingua nenda mbele ikiwezekana mpaka kwa Kova, usoiwe mwoga nenda tu utapata msaada. wapo watakaoguswa na hili
kova????????
 
Badili namba ya simu mtumie pess huyo Fred kwa M pesa ila uwe umeeshapanga na watu wa Vodacom wafunge hiyo account yake. So akienda kwa wakala kutoa itamgomea kutoa. So wakala atapiga simu Vodacom kuulizia kama kuna mteja katumiwa pesa ila ameshindwa kuitoa. Hapo ndipo jamaa wa Vodacom watakapo watonya mapolisi ili wamkute kwa wakala akiwa anasubiria kupewa jibu.
Huu mtego Tigo walishawahi utumia wakawanasa jamaa wote kwa pamoja kama kuku.
 
Nakushauri ukipata tena pesa kana hizo sogea kando ya mji upate kiwanja. Milioni sita unamaliza chumba na kuhamia. Ni pesa ndefu. Achana na kupanga kama kampuni za simu ambazo zinajua tanzania zinapita tu.vyou arwle here to stay for the rest of your life.

nimependa hii Manyerere, kuishi kwako chumba kimoja ni amani kuliko kuishi hekalu la kupanga. pole sana mwathirika.

Mwaka 2009 nilikutana na mkasa kama huu hukohuko Sinza.

tuliangalia nyumba na wife tukaridhika, tukaambiwa tusubiri siku kadhaa waliomo wamalize mkataba wao.

baada ya siku kama 3 kusalia tukalipa ukizingatia tulikokuwa tunaishi landlord tulisha zinguana kiasi cha kutosha priority kwetu ilikuwa ni kulipa haraka ili tuhame.

siku ilipowadia tukaenda ili tuchukue funguo, tuliyemlipa alikuwa mdada ambaye alidai ndiye mwenye nyumba. Tulipofika ndani ya nyumba kulikuwa vilevile, hawajahama, dada akatuambia kuna nyumba nyingine yake pia atupe hiyo, kwa shingo upande tukaenda kuiona lakini tulikataa hiyo deal.
tulisema tutasubiri wale wahame.

Mara akawa hapatikani kwenye simu
tukaanza kuhangaika kumtafuta, tukakumbuka kuwa wakati fulani alitaka kutubadilshia nyumba eti kwa vile wale wapangaji wanasumbiri kaka yao aliyeko safarini, nashukuru tulikubali kwenda kuiona, maana ndiko tulipomkamatia baadaye akiwa kajificha uvungu wa kitanda tukiwa na polisi wa kike kutoka kituo cha urafiki. Mke wangu ndiye aliyeona miguu... sijui hata aliingiaje na ule unene, hapo ilikuwa kama saa tatu usiku.

Tulimpeleka polisi ambako alikaa kwa siku tatu, alitoka baada ya kulipa mpaka sent ya mwisho. Thank God.
 
Mkuu usijekuwa unatuletea Hekaya za Abunuasi humu jamvini mkuu??
Hao madalali matapeli ni kweli wapo.Fred na kuna mama anajulikana mpaka polisi.

Wapo muda mrefu.kuna mtu alilizwa 3 mil na mwingine 3.6 na hawajawahi kuzipata.mmoja alihangaika akaishia kuandikishiana polisi alipwe kidogo kidogo itakapopatikana
 
Mkuu usijekuwa unatuletea Hekaya za Abunuasi humu jamvini mkuu? Ina maana Moshi Majungu naye Amejiingiza kwenye biashara ya utapeli?

Job K! Soma tena hii habari! Nyumba tuliona Sinza kwa Remmy,tukaambiwa mwenye nyumba yupo Makongo juu kesho yake tukapelekwa kulipa makongo! Baada ya kuwa tumeshapigwa tulienda pale Mara mbili na watu wanasema hiyo nyumba ni ya Hugo ndugu ila siku hizi wanadai yupo Ulaya
 
Mbona kazi rahisi tu sema lazima utoe rushwa kwa polisi otherwise jamaa atawapa rushwa polisi, wape rushwa wachukue seach warrant kisha nendeni Tigo chukueni position alipo kupitia simu mtampata! Mvizieni akiwa kwake nendeni na search warrant, akikataa hayuko home mseach mtamkamata kama kuku, kisha chukuen ushahidi wote yaani tigopesa transfer, mkataba, mpelekeni mahakamani.
 
aiseee
pole sana

kwa wakati ujao ni vyema mikataba ya upangaji ihusishe viongozi wa serekal za mitaa ambao mara nyingi wanafahamu wamiliki wa nyumba.

mkuu hiyo pesa ni nyingi but umeilipa kienyeji sana daa.. once again pole

Ahsante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom