King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,866
- 24,976
ni shiddddah!
Ila transaction za siku hizi unatakiwa kumuwekea mtu hela kwenye account aisee. 6 milion cash money? no freaking way! hapo hadi atafute mwenye kujilipua na kitambulisho cha bank unakuwa walau ushajua pa kuanzia:target:
Ila transaction za siku hizi unatakiwa kumuwekea mtu hela kwenye account aisee. 6 milion cash money? no freaking way! hapo hadi atafute mwenye kujilipua na kitambulisho cha bank unakuwa walau ushajua pa kuanzia:target:
Kuna mdau alinunua nyumba kila kitu fine na alifata procedures zote, matokeo yate wamekuja wanaukoo / ndugu na kudai hawakushilikishwa kwenye hayo mauzo. Huu ni mwaka wa tano Kesi zinapigwa danadana..., ingawa huenda mwisho wa siku atashinda Kesi ila usumbufu na muda aliopoteza anajuta.