Hekaya za Abunuasi
Senior Member
- Jan 6, 2014
- 166
- 38
- Thread starter
- #101
Badili namba ya simu mtumie pess huyo Fred kwa M pesa ila uwe umeeshapanga na watu wa Vodacom wafunge hiyo account yake. So akienda kwa wakala kutoa itamgomea kutoa. So wakala atapiga simu Vodacom kuulizia kama kuna mteja katumiwa pesa ila ameshindwa kuitoa. Hapo ndipo jamaa wa Vodacom watakapo watonya mapolisi ili wamkute kwa wakala akiwa anasubiria kupewa jibu.
Huu mtego Tigo walishawahi utumia wakawanasa jamaa wote kwa pamoja kama kuku.
Ahsante Mrigariga