Ukishajua umetapeliwa unatakiwa utulie ujifunze kutokana na kosa wala usijisumbue kuwatafuta matapeli ksbu utaishia kutumia hela nyingi zaidi kuhonga polisi na mahakamani alafu utashindwa kwa aibu. Kabla ujalipa kiasi kikubwa kama hicho ulitakiwa kuwa umefanya homework yako, ina maana ungekua unanunua iyo nyumba ungebeba bulungutu la hela upeleke Makongo!