Nimetapeliwa Sinza

Nimetapeliwa Sinza

Mimi miaka mitatu nyuma nilipona pona kutapeliwa tena na mwanadada akijifanya yeye ni mtoto pekee wa mwenye nyumba - ambaye ndiye mama yake mzazi akidai kwamba anaishi nje ya nchi dubai kwa hiyo tumlipe pesa yeye.

Nyumba ilikuwa nzuri sana na bei wakati ule ilikuwa 400,000 kwa mwezi so nilitakiwa nilipe Tshs. 4.8m pesa ya mwaka. Roho wa Mungu alinitokea na kumwambia yule dada anipe bank account ili nikamwekee pesa!! hapo utata ukaanza kwamba yeye hana account ya benki, nikamwambia basi nimlipe kwa Mpesa pia akadai account yake ina matatizo.

Baada ya kutoelewana kwamba mimi sitoi pesa CASH, wakashauriana na yule dalali kwamba kama sina nia na nyumba niiachie wengine walipie - kwani kulikuwa na wengine nje wakiwa na gari wakisubiri kuiona (nafikiri matapeli wenzao).

Nilivyotoka tu nje na rafiki yangu tukiwa tayari kuondoka, pembeni kidogo akatuita mzee mmoja akatuambia hiyo nyumba ni mali ya jamaa akatutajia jina na hapangishi - wale ni matapeli.

Tulitoka moja kwa moja hadi police, tuliporudi pale hakukukuta mtu na nyumba ilikuwa imefungwa. hapo ndiyo ikawa pona yangu -- I never pay more than 1m Tshs in cash.
 
Mimi miaka mitatu nyuma nilipona pona kutapeliwa tena na mwanadada akijifanya yeye ni mtoto pekee wa mwenye nyumba - ambaye ndiye mama yake mzazi akidai kwamba anaishi nje ya nchi dubai kwa hiyo tumlipe pesa yeye.

Nyumba ilikuwa nzuri sana na bei wakati ule ilikuwa 400,000 kwa mwezi so nilitakiwa nilipe Tshs. 4.8m pesa ya mwaka. Roho wa Mungu alinitokea na kumwambia yule dada anipe bank account ili nikamwekee pesa!! hapo utata ukaanza kwamba yeye hana account ya benki, nikamwambia basi nimlipe kwa Mpesa pia akadai account yake ina matatizo.

Baada ya kutoelewana kwamba mimi sitoi pesa CASH, wakashauriana na yule dalali kwamba kama sina nia na nyumba niiachie wengine walipie - kwani kulikuwa na wengine nje wakiwa na gari wakisubiri kuiona (nafikiri matapeli wenzao).

Nilivyotoka tu nje na rafiki yangu tukiwa tayari kuondoka, pembeni kidogo akatuita mzee mmoja akatuambia hiyo nyumba ni mali ya jamaa akatutajia jina na hapangishi - wale ni matapeli.

Tulitoka moja kwa moja hadi police, tuliporudi pale hakukukuta mtu na nyumba ilikuwa imefungwa. hapo ndiyo ikawa pona yangu -- I never pay more than 1m Tshs in cash.
FUSO;Noted
 
Last edited by a moderator:
mil 6 si unanunua kiwanja na kujenga vyumba viwili vya kuanzia maisha?au mnaonaje

acheni kujidanganya, utanunua kiwanja shilingi ngapi kwa hapa Dar? halafu unajenga nyumba ya Makuti isiyo na umeme au?
mh kiukweli huwezi jenga kwa hela hiyo
 
He! Mie nimetapeliwa jana tu tarehe 6/3/2014 mchana kweupe bila shuruti. Sitasema jinsi huyo kaka alivyoniliza kwani mtanicheka. Pole sana ndg yangu mie nimeamua kujifariji kwa miziki ya bolingo hapa dkn. Sasa namalizia wimbo wa Blandine wa Werrason. Nikimpata atajuta atatamani bora Alshababu wangemkuta WESTGATE.
 
He! Mie nimetapeliwa jana tu tarehe 6/3/2014 mchana kweupe bila shuruti. Sitasema jinsi huyo kaka alivyoniliza kwani mtanicheka. Pole sana ndg yangu mie nimeamua kujifariji kwa miziki ya bolingo hapa dkn. Sasa namalizia wimbo wa Blandine wa Werrason. Nikimpata atajuta, atatamani bora Alshababu wangemkuta WESTGATE.
 
Mmh hiyo nyumba ulionunua sinza kwa remmy kwa m6 mbona hata kibanda hakiuzwi hivyo au ulipanga sidhani kama sinza kuna nyumba ya m6 fafanua zaidi

sinza kuna nyumba hadi za ziadi ya hapo ndugu yangu, mimi nimekaa sana sinza napaelewa vizuri nyumba za kule zinabei sana tena nyingine unakutana haina hata hadhi ya kiivyo lakini uliza kodi utashangaa
 
sinza kuna nyumba hadi za ziadi ya hapo ndugu yangu, mimi nimekaa sana sinza napaelewa vizuri nyumba za kule zinabei sana tena nyingine unakutana haina hata hadhi ya kiivyo lakini uliza kodi utashangaa
Mke wa mtu umeambiwa ni nyumba ya kupanga. Husomi vizuri unarukia ku comment.
 
hujawahi hata kusifiwa na wadawa wa kitaa hivi? au hata wamama (ila usimuamini mama yako. watu wanasemaga my cute boy ama gelo ila nikiangalia natamani kupiga yowe)
Sijawahi sifiwa hata siku moja

Halafu nikunong'oneze? Ila siri yako usimuambie mtu, niambie deal au sio deal? utaweza tunza siri?

Unajua mimi nilikuwa naipenda sana ile avatar yako nyuma ya hii ukiwa katika mavazi hayo hayo ya combat

Sasa sijui kwanini umebadili tena, ila sio mbaya maamuzi tena, ila mimi niliipenda sana ile kabla ya hii
 
Mimi sina hamu na matapeli wa sinza nilitapeliwa laki sita kwenda kituo cha polisi kumbe yule tapeli anajulikana sana pale kituoni ila kumkamta ndio inakuwa shida. Hawa jamaa wako makini sana kukanatika sio rahisi. Mimi nilimwachia Mungu ingawa nilikuwa nampangishia demu
Mkuu nmecheka sana, sasa demu ulimwambiaje? Au ndo mapenzi yaliishia hapo?
 
acheni kujidanganya, utanunua kiwanja shilingi ngapi kwa hapa Dar? halafu unajenga nyumba ya Makuti isiyo na umeme au?
mh kiukweli huwezi jenga kwa hela hiyo

Afadhali na ww umeliona hilo me mwenyewe nilishangaa eti m6 mtu anunue kiwanja na ajenge jaman wakat hyo hela ni ya kiwanja peke yake na inaweza isitoshe
 
Afadhali na ww umeliona hilo me mwenyewe nilishangaa eti m6 mtu anunue kiwanja na ajenge jaman wakat hyo hela ni ya kiwanja peke yake na inaweza isitoshe

kabisa mkuu...hizo ni ndoto za mchana kununua kiwanja na kujenga kwa M6
 
Pole sana ndugu.Ina umiza sana.Mungu akusaidie hekima katika kipindi hiki usiendelee kupoteza fedha zingine.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom