Nimetapeliwa Sinza

Nimetapeliwa Sinza

He! Mie nimetapeliwa jana tu tarehe 6/3/2014 mchana kweupe bila shuruti. Sitasema jinsi huyo kaka alivyoniliza kwani mtanicheka. Pole sana ndg yangu mie nimeamua kujifariji kwa miziki ya bolingo hapa dkn. Sasa namalizia wimbo wa Blandine wa Werrason. Nikimpata atajuta, atatamani bora Alshababu wangemkuta WESTGATE.

aisee pole sana mkuu
 
mil 6 si unanunua kiwanja na kujenga vyumba viwili vya kuanzia maisha?au mnaonaje

milion 6 hata kiwanja hakitoshi jaman ingekuwa hvo hapa mjin kila mtu asingepanga hela nyingi hvo ili kuepuka usumbufu shda za nyumba ndo tatizo
 
Tafuta mshenzi mwenzake huyo tapeli tena awe polisi ndo atatoa lakini kwa kwenda kipolipolisi umeliwa .juzi kati katapeliwa demu hivo hivo na sijui kama sio huyo huyo tapeli ila aliingia choo cha kike kwa huyo demu na pesa kazitoa .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom