Nimeshindwa kujizuia jamani

Nimeshindwa kujizuia jamani

ila ukiwakuta wanavyo tunyooshea vidole sasa as if wao ni watakatifu,, labda shida yetu ni kujiachia sana ndo maan tunaonekana hatuna maadili🤭
Kwenye hayo mambo hamna mtakatifu wee. Hata ukirejea kwenye historia za hao walioitwa watakatifu basi nao pia walipatwa na kashfa. Hapana chezeya utamu wee. Hayo mambo hayana shekhe wala kadinali
 
Kwenye hayo mambo hamna mtakatifu wee. Hata ukirejea kwenye historia za hao walioitwa watakatifu basi nao pia walipatwa na kashfa. Hapana chezeya utamu wee. Hayo mambo hayana shekhe wala kadinali
hahah nimecheka et hapana chezea utamu alooooo😅😅,, mfano mzuri ni samsoni mbali na kuwa na minguvu yote ila mwishoe alilegezwa na kibinti kibichi au mfalume suleimani 👐
 
hahah nimecheka et hapana chezea utamu alooooo😅😅,, mfano mzuri ni samsoni mbali na kuwa na minguvu yote ila mwishoe alilegezwa na kibinti kibichi au mfalume suleimani 👐
 

Attachments

  • Screenshot_20260602-004843.png
    Screenshot_20260602-004843.png
    1.2 MB · Views: 16
ukienda sehemu kama iIringa wao wanaita figiri..

Anyway, Ngoja niache uwanja wa watu waendelee na mtanange.
 
Shikamoon wakubwa zangu

Unajua kuna namna ukipita, au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta, huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.

Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri. So kuna kitu nakuta nakikosa, mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza, mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.

Tungekuwa wanawake tunatongoza, naona leo ningetafuta lakini, si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa, kuwasha si kuwasha viungo vimekaza, kazi zitanishinda leo.

Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
🧔
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom