Nimeshindwa kujizuia jamani

Nimeshindwa kujizuia jamani

Shikamoon wakubwa zangu

Unajua kuna namna ukipita,au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta,huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.

Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri .so kuna kitu nakuta nakikosa,mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza,mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.

Tungekuwa wanawake tunatongoza,naona leo ningetafuta lakini ,si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa ,kuwasha si kuwasha viungo vimekaza,kazi zitanishinda leo.

Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
Njoo tujidinye.
 
Shikamoon wakubwa zangu

Unajua kuna namna ukipita,au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta,huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.

Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri .so kuna kitu nakuta nakikosa,mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza,mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.

Tungekuwa wanawake tunatongoza,naona leo ningetafuta lakini ,si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa ,kuwasha si kuwasha viungo vimekaza,kazi zitanishinda leo.

Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
Yani wewe sijakupigia simu siku mbili tu ushaleta nyege zako huku?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom