Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 20,096
- 61,507
Kuweni na imani na Wazee 😅
Hao mabinti tumewahi kuwa nao mwaka 47 ðŸ¤
Kuweni na imani na Wazee 😅
ephen_ toa hivyo viatu haraka kwenye profile yako kabla na wewe hujafikiwa. 😀Huna akili dada ,Mimi siwezi kuuza mashuka,yaani kitu mtu Hadi kichakae ndiyo arudi😂😂😂 kenge mshamba wewe.
Mimi nafanya kazi sina malonyalonya kama wewe Nina MacBook, moja, calculator moja ,Fiber ya Yas na camera zinaniona,sasa otea hiyo ni kazi gani,yaani uuze mapazia ujianike mtandaoni wee Una akili kweli
Marry Diana kwa heshima yangu kapumzike mama. Tuonane kesho. 😀Ngoja nikale narudi
🤓Nimecheka sanaaa! Nilijiuliza hilo baibui kaliona wapi kumbe kwenye profile🤣
Upo wapi?Shikamoon wakubwa zangu
Unajua kuna namna ukipita, au ukiwa kwenye Nyakati ngumu unajikuta, huwazi mambo ya ngono na huhitaji mpenzi.
Sasa kwasasa angalau nipo kwenye wakati mzuri. So kuna kitu nakuta nakikosa, mmmh nyege mbaya niwe mkweli nimeshindwa kukaza, mbaya zaidi hata mtu wangu hajawahi nipigia simu.
Tungekuwa wanawake tunatongoza, naona leo ningetafuta lakini, si taratibu zetu.
Ila hapanaaaaa, kuwasha si kuwasha viungo vimekaza, kazi zitanishinda leo.
Ngoja nitafute kitu cha kuniweka busy
Msaada ushatoa?🤓
Kasahau Qr code ya lipa namba.Tangazo lime someka vyema, gudi morning mere mauzo
Mimi nipo bush huku nalima ngogwe. Nitamsaidia nini mrembo wa Tabata Kinyerezi? Unataka kuniingiza kwenye matatizo?Msaada ushatoa?
Ngogwe ndo nini?Mimi nipo bush huku nalima ngogwe. Nitamsaidia nini mrembo wa Tabata Kinyerezi? Unataka kuniingiza kwenye matatizo?
ukirudi utuambie I'd yako nyingine ni ipi haiwezekani uwe unachamba watu hiv kwa kujua nyuzi wanazo zipenda wakati kwenye nyuzi nyingine huwa hauonekani😅😅😅😅 ila unavituko dahNgoja nikale narudi
Ngogwe ni nyanya chungu.Ngogwe ndo nini?
Bao moja kavu kavu natakiwa kuwa na tsh ngapi?Wanaume wengi hawajui,
Pesa ina mchango mkubwa yaani nikiona mwenye uhakika wa hela mwili unasisimka ,kila kitu kimeloa
Naomba kazi ya kibarua! Njaa kaliNgogwe ni nyanya chungu.
Wewe dada huna kitu kaa kimya,Mimi sibishani na mjasiriamali hata kidogo😂 umenichekesha sana, Mimi sivyo unavyonifikiria,sema nikuongezee shilingi ngapi ili vitu visibanane hivyoUtajuaje, unataka nikuonyeshe vyote uwehuke??
Nyau weye, 🤣 🤣,,,
Hii ya mwisho nishagundua kumbe nabishana na chizi minyege fangasi,
Omba kazi zinazotumia Mac Book. Hizi za jembe la mkono hutaziweza.Naomba kazi ya kibarua! Njaa kali
Mambo ya itelijensia 😂😂ukirudi utuambie I'd yako nyingine ni ipi haiwezekani uwe unachamba watu hiv kwa kujua nyuzi wanazo zipenda wakati kwenye nyuzi nyingine huwa hauonekani😅😅😅😅 ila unavituko dah