Nimeshindwa kujizuia jamani

Nimeshindwa kujizuia jamani

Nipo hapa kamanda, ilete ilete ilete tuifanyie kazi
Dodo hilo mkuu,

 
Ukitaka wenye positive mind kama wewe tembelea nyumbani kwetu kwenye uzi wa eFootball na uzi wa korea utatukuta.

Familiya yetu Intelligent businessman adriz Selikavu Warld na tajiri yetu Depal 😂😂😂
nitatembelea tatizo sielewi mambo ya mpira jamni si nitabaki nawashangaa tu au kuna zaidi ya hivyo kwenye uzi wa efootball?,, huko kwenye korean dram nitakuja😇
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom