MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 31,654
- 48,430
- Thread starter
- #21
Tanzania haijawahi kudharau kiingereza, ni awamu hii tu ndo kumezuka hili jambo na hata sisi tunaona aibu usione tunajikakamua kubisha. Awamu tuna sababu ya msingi ya kukiponda kiingereza, hakuna nyumba inapika kitimoto wakati baba mwenye nyumba hatumii kisa kuna watoto wanatamani Kitimoto.
Nimecheka kwa sauti hapa......