TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
- Thread starter
- #21
Kifo ni ahadi🙏🙏🙏Utakufa kifo kibaya sana na kuletea familia yako majonzi makubwa.
Hizo pesa zinaenda kugujwa ovyoovyo na viongozi wa serikali.
Kifo ni ahadi🙏🙏🙏Utakufa kifo kibaya sana na kuletea familia yako majonzi makubwa.
Hizo pesa zinaenda kugujwa ovyoovyo na viongozi wa serikali.
Unaogopaje kufa mwanaume😂😂Subiria kutupwa kwenye shamba la mahindi tu au kichakani ukiwa umechinjwa kikatili 😅!!!
“What do we do to traitors?...We kill them” ~Hotel Rwanda
Siogopi kufa ila siwezi kufurahia kufa kizembe!Unaogopaje kufa mwanaume😂😂
Wakidakwaga wanaliwa kibogaWatu kama ninyi mnaitwaga masnitch mara nyingi mnaishiaga kwenye 18 za watu mkiwekewa mitego.
Wakidakwaga wanaliwa kibogaWatu kama ninyi mnaitwaga masnitch mara nyingi mnaishiaga kwenye 18 za watu mkiwekewa mitego.
Elezea kwa undaniMajamaa ni majizi yanatapeli raia kitaa,yana kwepa kodi yakishirikiana na viongozi wa S/kali za mtaa na hakuna wa kuwazuia imeniuma sana imebidi nitafute angle yakuwabana.
Wewe ulipoozwa kiasi gani,baada ya kuokoa kiasi hicho?Habari wadau..!
Kumbe kuwa usalama wa Taifa sio mpaka uajiriwe na wale watu.
Mwaka huu nimejikuta tu nafanya kazi za wale jamaa pasipo kujua na kuisaidia serikali kupata 20M ambayo ilikuwa inapotea kama kodi baada ya kuwachoma wakuda fulani kwa serikali na kutiwa hatiani.
Ila hawa waduanzi wakijua kihere here kitaniponza😂😂
Safi sana...Majamaa ni majizi yanatapeli raia kitaa,yana kwepa kodi yakishirikiana na viongozi wa S/kali za mtaa na hakuna wa kuwazuia imeniuma sana imebidi nitafute angle yakuwabana.