Qwy
JF-Expert Member
- Nov 23, 2018
- 6,238
- 31,148
Some killings during Jiwe era were not necessary, Ben Saanane alikuwa anahatarisha kitu gani, huo ni mfano mmoja tu lakini mifano iko mingi sana.You have never been a leader i guess.
So jeshi, Army (carrying arms, vifaa vya kivita) unafikiri kazi yake ni nini?
Sera zako zinaweza kuwaua wengi sana, wakulima, maskini,vijana.
Police, (policing) kutekeleza majukumu ya serikali kazi yao ni ipi? Usalama wa Taifa jukumu lao ni lipi?
Sio wewe binafsi utaua watu, but through organs you control you can kill hundreds kimya kimya.
Sometimes you have do neccesity kuwaokoa wengi.
Ni uongozi gani haujafanya hivyo kwenye historia ya dunia?
Issues kama vita au kukabiliana na armed robbers hapo kila mwenye akili timamu anaelewa umuhimu wa kutekeleza yaliyo ya lazima(unavoidable killings).