Nimerejea kutazama 'Video' mbalimbali za Hayati Rais Dkt. Magufuli niseme tu Samahani kwa 'Kumkosoa' ila Asante Mungu kwa 'Kutuzawadia' Rais kama yeye

Mazuri yapi? Mbona so far sijaona kizuri cha kumkumbuka? Kama ni afya mama ameshamuoutshine,elimu naaji ndio usiseme,ajira ndio kabisaa, uchumi mambo ni poa ..

Unless umerogwa ndio unaweza mkumbuka Dhalimu.
Well said-"Unless umerogwa ndio unaweza mkumbuka Dhalimu."
 
Hayati Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli Asante kwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Kipindi chako chote na leo GENTAMYCINE bila Unafiki nasema Tanzania tarehe 17 March, 2021 tumempoteza "Malaika Maalum' aliyeletwa na Mwenyezi Mungu kuja Kutuamsha Watanzania, Kututhaminisha, Kutuheshimisha, Kutuaminisha na kutuletea Maendeleo ya haraka.

Kutoka Mwezi March 2021 hadi leo hii (Mwezi Oktoba 2021) nimeanza Kuiona Tanzania ya tofauti kabisa ambayo imeanza kurudi nyuma na 'Kusuasua' katika Sekta nyingi na Maeneo mengi hali ambayo imeanza Kunitisha huku Machozi ya Kumbukumbu ya Kuondokewa nae Hayati Rais Dkt. Magufuli yakianza 'Kunibubujika' tena.

Nisamehe Hayati Rais Dkt. Magufuli kwa Kukukosoa Kimihemko, nakukumbuka, nakulilia sana na namuomba Mwenyezi Mungu ailaze Roho yako mahala pema Peponi ila huko Chato ulikolala sasa jua kuwa Viatu vyako bado ni Vikubwa na Vinawapwaya wale waliodhani kuwa aina ya Uongozi wako ulikuwa ni rahisi wakisahau kuwa Umahiri wako wa Kiuongozi uliongozwa ma kutawaliwa zaidi na Kumtanguliza Kwako Mwenyezi Mungu na Malaika wake.

Ninatamani 2025 aje tu Magufuli mpya.
Yule ni mwamba salute kwake
 
Nlitofautiana na mwendazake katika nkushindwa kuongeza mishahara kwa miaka yake yote aliyokaa madarakani..kwa Hilo hata aje Nani,.amtetee namna gan lakini sitoweza kumuelewa

Unaangalia pia inflation ndugu. Mshahara umeongezwa kwa asilimia moja mbili, bei za vitu asillimia tatu, nne.

Kiuhalisia you lose. Muhimu kuwapa mishahara stahiki watumishi wote wa umma, muhimu zaidi ku-dhibiti mfumuko wa bei ( inflation) ila pesa itumike, iweze kununua matumizi mengi.
 
Chuma ametuaMsha ,tuliozani hayawezekani ,Sasa yanawezekana,JPM lala Kwa amani

JPM aliwaaminisha wengi na kuwaambia wengi kila kitu kinawezekana. Ni mipango, kujipanga, vipaumbele sahihi, kujiamini.

Kutembea kifua mbele, kutumia rasilimali zetu vizuri. Tusijiite maskini, sisi ni matajiri sana. Donor country, sisi ni donor country (Afrika) ingawa hatujui hivyo.

Uwezo wetu wa kufikiri, kujipanga, kujiamini, kutekeleza ndio unatukwamisha.

Alitaka kutuvusha kwenda kwenye next level of thinking. Alikwamishwa, ameondolewa, ameondoka. Ila legacy yake haifutiki.
 
You might be right but I've never killed anybody or ordered anyone killed or even did anything that may warrant such condemnation.
You have never been a leader i guess.

So jeshi, Army (carrying arms, vifaa vya kivita) unafikiri kazi yake ni nini?

Sera zako zinaweza kuwaua wengi sana, wakulima, maskini,vijana.

Police, (policing) kutekeleza majukumu ya serikali kazi yao ni ipi? Usalama wa Taifa jukumu lao ni lipi?

Sio wewe binafsi utaua watu, but through organs you control you can kill hundreds kimya kimya.

Sometimes you have do neccesity kuwaokoa wengi.

Ni uongozi gani haujafanya hivyo kwenye historia ya dunia?
 
Kwenye msafara wa mamba, hao walikuwa ni makenge!
Makenge waliokuwa sponsored na Jiwe mwenyewe, sasa hapo tofauti kati yake na wao ni ipi.
Kwa kuwa wao ni kenge naye alikuwa kenge pia.
 
Back
Top Bottom