dazipozi
JF-Expert Member
- Nov 5, 2011
- 1,137
- 106
Matusi tena?Tatizo mi naweza kumtusi hadi nkapewa ban sasa ivi!
Matusi tena?Tatizo mi naweza kumtusi hadi nkapewa ban sasa ivi!
Akili kama zako za mawenge sina,mtt wakiume unaogopa simu,je ungepigiwa na kidumd je?akasema anataka kuku seyaAre you serious?Una akili kweli hata moja?Do you know what youve written?
Akili kama zako za mawenge sina,mtt wakiume unaogopa simu,je ungepigiwa na kidumd je?akasema anataka kuku seya
God should for give u 2You are just nuts..first you start referring me as feminine when am not..secondly,you come up with a pathetic defense but in the course of doing so you depict how stupid you are,then you go ahead defending your foolishnes kwa kupost some other foolish insults..God should forgive you..
Nimewahi,hii ilikuwa ni ya tofauti sana..na kwanini uzime simu kutwa nzima just because umekosea namba?
Sikiliza kijana, kuna kitu inaitwa "calling cards" hawa watu wanaokaa nje wanazijuwa hizi, na watu wenye watu wao huko nje wanaopigiwa simu na hawa, huwa wanazijuwa pia. Hizi company za calling cards, hutumia a combination ya landlines, mobile (wireless lines) na VOIP (voice over internet protocol), wanatumia combination hizo kupata urahisi wa ku provide hizo service na kuzifanya Intenational Calls kuwa cheaper.
Inategemea na huyo aliekupigia simu (kwa kukosea namba kwa kuwa humjuwi) alitumia "calling card" ipi kutoka huko nje, na ikifika hapa hutumia mtandao (wowote ule waliokuwa na mikataba nayo) na hizo namba za simu ni namba zinazotumika kwa simu za kuingia tu (leased lines) (kutoka mtandao wa hapa local wenye mkataba na hao service providers wa calling cards). Kwa kuwa hizo namba zimekuwa programmed kuingia tu na si kupokea simu, kwa hiyo hata ufanye nini, saa 24 utapata "Busy tone" na ikitokea kwa bahati ukiipiga ukapata "ringing tone" basi hakuna ataekujibu.
Hebu wacha ujinga. Hakuna ajabu hapo wala muujiza hapo. Hiyo ni namba ya Tanzania tena ni mtandao wa TiGo kama sikosei, lakini inatumika kwa kupokea tu simu za kutoka nje (most probably) via VOIP.
Landline or mobile from caller, via VOIP at calling city or country via server (of Calling Card SP), via local SP (Tigo or anyone else) thru dedicated leased lines to your phone. That is how the call route is or similar. Hakuna cha ajabu hapo, ajabu niionayo ni ujinga wa aliyepigiwa kuona huu ni muujiza. Ama kweli Watanzania tupo kwenye pachupachu za dunia.
Inastaajabisha sana kuona mtu anaejiita "learned" kuto kuelewa mambo madogo kama haya, ndio maana hatuendelei ikiwa ma "learned" wetu ni sampuli hii.
Faiza is telling the truth... hata wanaopigia far east, sometimes inatokea namba ya nyumbani kumbe wametumia mtandao na access kama FF alivyosemaAcha uongo..., details ulizotoa hazihusiani kabisa na calling cards,, na mara nyingi calling cards kama haitaonesha base line number basi itaonesha anonymous caller,,
Na ww una kila dalili upo/umeishi UK au US maana huko ndo famous kwa hayo ma-card
Sikiliza kijana, kuna kitu inaitwa "calling cards" hawa watu wanaokaa nje wanazijuwa hizi, na watu wenye watu wao huko nje wanaopigiwa simu na hawa, huwa wanazijuwa pia. Hizi company za calling cards, hutumia a combination ya landlines, mobile (wireless lines) na VOIP (voice over internet protocol), wanatumia combination hizo kupata urahisi wa ku provide hizo service na kuzifanya Intenational Calls kuwa cheaper.
Inategemea na huyo aliekupigia simu (kwa kukosea namba kwa kuwa humjuwi) alitumia "calling card" ipi kutoka huko nje, na ikifika hapa hutumia mtandao (wowote ule waliokuwa na mikataba nayo) na hizo namba za simu ni namba zinazotumika kwa simu za kuingia tu (leased lines) (kutoka mtandao wa hapa local wenye mkataba na hao service providers wa calling cards). Kwa kuwa hizo namba zimekuwa programmed kuingia tu na si kupokea simu, kwa hiyo hata ufanye nini, saa 24 utapata "Busy tone" na ikitokea kwa bahati ukiipiga ukapata "ringing tone" basi hakuna ataekujibu.
Hebu wacha ujinga. Hakuna ajabu hapo wala muujiza hapo. Hiyo ni namba ya Tanzania tena ni mtandao wa TiGo kama sikosei, lakini inatumika kwa kupokea tu simu za kutoka nje (most probably) via VOIP.
Landline or mobile from caller, via VOIP at calling city or country via server (of Calling Card SP), via local SP (Tigo or anyone else) thru dedicated leased lines to your phone. That is how the call route is or similar. Hakuna cha ajabu hapo, ajabu niionayo ni ujinga wa aliyepigiwa kuona huu ni muujiza. Ama kweli Watanzania tupo kwenye pachupachu za dunia.
Inastaajabisha sana kuona mtu anaejiita "learned" kuto kuelewa mambo madogo kama haya, ndio maana hatuendelei ikiwa ma "learned" wetu ni sampuli hii.
Jamani, hivi haya mapepo ya siku hizi yanatumia teknolojia ya kisasa/mitandao?Ni mapepo hayo mkuu, kemea yataisha! usiwape watu kama hao chance ya kumpigia ndiyo atakudakisha hayo mapepo yake. acha apige yeye mwenye shda.
Acha ujuaji..hiyo ni namba ya airtel na sio tigo.Halafu nimepokea simu nyingi za kupitia calling cards kama unavosema lakini huwa at least zinaonesha base.Pia,it has never occured to me before kwamba airtel wana makubaliano/contract ya dizaini hiyo.Halafu youve made mockery of my id wkt we mwnyw ni laywoman tuSikiliza kijana, kuna kitu inaitwa "calling cards" hawa watu wanaokaa nje wanazijuwa hizi, na watu wenye watu wao huko nje wanaopigiwa simu na hawa, huwa wanazijuwa pia. Hizi company za calling cards, hutumia a combination ya landlines, mobile (wireless lines) na VOIP (voice over internet protocol), wanatumia combination hizo kupata urahisi wa ku provide hizo service na kuzifanya Intenational Calls kuwa cheaper.
Inategemea na huyo aliekupigia simu (kwa kukosea namba kwa kuwa humjuwi) alitumia "calling card" ipi kutoka huko nje, na ikifika hapa hutumia mtandao (wowote ule waliokuwa na mikataba nayo) na hizo namba za simu ni namba zinazotumika kwa simu za kuingia tu (leased lines) (kutoka mtandao wa hapa local wenye mkataba na hao service providers wa calling cards). Kwa kuwa hizo namba zimekuwa programmed kuingia tu na si kupokea simu, kwa hiyo hata ufanye nini, saa 24 utapata "Busy tone" na ikitokea kwa bahati ukiipiga ukapata "ringing tone" basi hakuna ataekujibu.
Hebu wacha ujinga. Hakuna ajabu hapo wala muujiza hapo. Hiyo ni namba ya Tanzania tena ni mtandao wa TiGo kama sikosei, lakini inatumika kwa kupokea tu simu za kutoka nje (most probably) via VOIP.
Landline or mobile from caller, via VOIP at calling city or country via server (of Calling Card SP), via local SP (Tigo or anyone else) thru dedicated leased lines to your phone. That is how the call route is or similar. Hakuna cha ajabu hapo, ajabu niionayo ni ujinga wa aliyepigiwa kuona huu ni muujiza. Ama kweli Watanzania tupo kwenye pachupachu za dunia.
Inastaajabisha sana kuona mtu anaejiita "learned" kuto kuelewa mambo madogo kama haya, ndio maana hatuendelei ikiwa ma "learned" wetu ni sampuli hii.
Acha uongo..., details ulizotoa hazihusiani kabisa na calling cards,, na mara nyingi calling cards kama haitaonesha base line number basi itaonesha anonymous caller,,
Na ww una kila dalili upo/umeishi UK au US maana huko ndo famous kwa hayo ma-card
Acha ujuaji..hiyo ni namba ya airtel na sio tigo.Halafu nimepokea simu nyingi za kupitia calling cards kama unavosema lakini huwa at least zinaonesha base.Pia,it has never occured to me before kwamba airtel wana makubaliano/contract ya dizaini hiyo.Halafu you‘ve made mockery of my id wkt we mwnyw ni laywoman tu
Learned hujawahi pokea wrong numbers?