Acha kuleta udini.Ukiacha mariam unayemtaja wewe,Mariam ni jina tu la kawaida linatumika na watu tofauti duniani. Na mimi sjasema mama yake Mungu kanipigia simu so usiharibu habari. Nlichosema ni kuwa yeye kajiita mariam.
Namba yake ni 068578677x
Tatizo lako hujiamini mi nahisi kuna kitu umefanya sasa roho inahangaika
We ndo unabisha tulilala wote?
Nazingua nini bibie?Na wewe hapa nahisi unanzingua tuu
Faiza kwa ugovi,sikuwezi kahMimi ni mtu mzima na nnazijuwa hadithi za kusadikika, wapelekee watoto wenzako huko, cha ajabu nini sasa?
Nazingua nini bibie?
Jamani mods si mnaona wenyewe nnavotukanwa afu mnakaa kimya tu? Huyu bwana ananiita mi demu tangu mwanzo nimemwambia mi sio miss anaendelea tuu!!!!
We boya nimekwambia mimi sio demu acha uboya!!Unantaftia ban tu hapa saivi nkutukane nipigwe ban MI SIO DEMU NI KIDUME! We endelea kuniita bibie nikuripoti kwa mods..
You are truly "Some piece of work"Kwanza, wewe husemi kweli.
Unalea hadithi za kufikirika. Kama u mkweli tuwekee hiyo namba ya kiajabu.
Mariam ni mama yake Yesu (AS), Jee, kuna Mkristo anaeamini kuwa Jina la Mama yake Mungu likampigia mtu simu za kiajabu
Tafadhali sana, kuwa mkweli. Usicheze na majina haya makubwa.
Mimi ni mtu mzima na nnazijuwa hadithi za kusadikika, wapelekee watoto wenzako huko, cha ajabu nini sasa?
Tatizo huyo jamaa sijui anatabia za kikameruni haishi kuniita miss mara bibie wakati nshamwambia mie am a dude sio ke ni me!
Wadau naombeni maoni/ ushauri wenu kuhusu hii simu nlopokea-ni kisa cha ukweli sio mzaha.
Ilipigwa zaidi ya mara kumi usiku kucha kuanzia saa saba.Ni namba ngeni(haikuandika jina) na sikupokea kwa sababu ni namba ngeni halafu ni usiku wa manane.
Mpigaji akaendelea kupiga tuuu mpaka mnamo saa kumi na moja alfajiri nliposhawishika kuipokea..mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo.
Yeye: (kwa hasira sana na kwa lafudhi ya kiswahili isiyo dhahiri ya kitanzania) hivi unajuaga sitaki mtu muongo wewe?
Mimi: kwani we nani na unasemaje?
Yeye; mi mariamu,kwani we nani?Unasemaje?
Mimi:nikuulize wewe ambaye umenipigia usiku kucha kwa namba ngeni
Yeye: (matusi makali sana hayaandikiki hapa) kisha akabadilisha lugha na kuzungumza lugha ambayo siifahamu kabisa.
Mimi:haloo,sikuelewi lugha unayotumia
Yeye:akakata simu(au ilikatika yenyewe)
Nilitamani kumpigia lakini sikuwa nahela kwny simu zangu zote..ila tangu mchana nimejaribu kupiga simu haipatikani.
Sa najiuliza sjui ni nani na sjui alitaka nini kwangu..najiuliza sjui niweke namba yenyewe hapa ili mnisaidie kuitrace? Ni ya airtel.[/QUOTE
Ni mapepo hayo mkuu, kemea yataisha! usiwape watu kama hao chance ya kumpigia ndiyo atakudakisha hayo mapepo yake. acha apige yeye mwenye shda.
Hahahaha mchizi muoga wewe..basi kaka naona mapovu yanakutoka,nilikuwa nakujambisha kidogo..kwikwikwikwikwikwi,g9tJamani mods si mnaona wenyewe nnavotukanwa afu mnakaa kimya tu? Huyu bwana ananiita mi demu tangu mwanzo nimemwambia mi sio miss anaendelea tuu!!!!
We boya nimekwambia mimi sio demu acha uboya!!Unantaftia ban tu hapa saivi nkutukane nipigwe ban MI SIO DEMU NI KIDUME! We endelea kuniita bibie nikuripoti kwa mods..