The Dude
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 1,029
- 453
Wadau naombeni maoni/ ushauri wenu kuhusu hii simu nlopokea-ni kisa cha ukweli sio mzaha.
Ilipigwa zaidi ya mara kumi usiku kucha kuanzia saa saba.Ni namba ngeni(haikuandika jina) na sikupokea kwa sababu ni namba ngeni halafu ni usiku wa manane.
Mpigaji akaendelea kupiga tuuu mpaka mnamo saa kumi na moja alfajiri nliposhawishika kuipokea..mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo.
Yeye: (kwa hasira sana na kwa lafudhi ya kiswahili isiyo dhahiri ya kitanzania) hivi unajuaga sitaki mtu muongo wewe?
Mimi: kwani we nani na unasemaje?
Yeye; mi mariamu,kwani we nani?Unasemaje?
Mimi:nikuulize wewe ambaye umenipigia usiku kucha kwa namba ngeni
Yeye: (matusi makali sana hayaandikiki hapa) kisha akabadilisha lugha na kuzungumza lugha ambayo siifahamu kabisa.
Mimi:haloo,sikuelewi lugha unayotumia
Yeye:akakata simu(au ilikatika yenyewe)
Nilitamani kumpigia lakini sikuwa nahela kwny simu zangu zote..ila tangu mchana nimejaribu kupiga simu haipatikani.
Sa najiuliza sjui ni nani na sjui alitaka nini kwangu..najiuliza sjui niweke namba yenyewe hapa ili mnisaidie kuitrace? Ni ya airtel.
Ilipigwa zaidi ya mara kumi usiku kucha kuanzia saa saba.Ni namba ngeni(haikuandika jina) na sikupokea kwa sababu ni namba ngeni halafu ni usiku wa manane.
Mpigaji akaendelea kupiga tuuu mpaka mnamo saa kumi na moja alfajiri nliposhawishika kuipokea..mazungumzo yalikuwa kama ifuatavyo.
Yeye: (kwa hasira sana na kwa lafudhi ya kiswahili isiyo dhahiri ya kitanzania) hivi unajuaga sitaki mtu muongo wewe?
Mimi: kwani we nani na unasemaje?
Yeye; mi mariamu,kwani we nani?Unasemaje?
Mimi:nikuulize wewe ambaye umenipigia usiku kucha kwa namba ngeni
Yeye: (matusi makali sana hayaandikiki hapa) kisha akabadilisha lugha na kuzungumza lugha ambayo siifahamu kabisa.
Mimi:haloo,sikuelewi lugha unayotumia
Yeye:akakata simu(au ilikatika yenyewe)
Nilitamani kumpigia lakini sikuwa nahela kwny simu zangu zote..ila tangu mchana nimejaribu kupiga simu haipatikani.
Sa najiuliza sjui ni nani na sjui alitaka nini kwangu..najiuliza sjui niweke namba yenyewe hapa ili mnisaidie kuitrace? Ni ya airtel.