Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,513
- 34,130
- Thread starter
- #81
Mimi sipendi kuwa addicted na kitu chochote, wala kupoteza control ya tabia au mienendo yangu.Hongera, unajua wengi wana log out ID ya Majuto na ku log in ID ya Ngosha, sasa kama wewe unaweza kupotezea mitandao hadi usijue kinachoendelea kabisa manake bado hujaathirika na kuwa online hasa jf. Hii kitu naitaka, nitafanyaje, bado sijapata solution.
Nikiona napenda sana kitu, wakati mwingine naacha tu ili kujipima kama sijajitengenezea utegemezi. Nina discipline na a very strong will, inanisaidia.