Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Hongera, unajua wengi wana log out ID ya Majuto na ku log in ID ya Ngosha, sasa kama wewe unaweza kupotezea mitandao hadi usijue kinachoendelea kabisa manake bado hujaathirika na kuwa online hasa jf. Hii kitu naitaka, nitafanyaje, bado sijapata solution.
Mimi sipendi kuwa addicted na kitu chochote, wala kupoteza control ya tabia au mienendo yangu.

Nikiona napenda sana kitu, wakati mwingine naacha tu ili kujipima kama sijajitengenezea utegemezi. Nina discipline na a very strong will, inanisaidia.
 
Mimi sipendi kuwa addicted na kitu chochote, wala kupoteza control ya tabia au mienendo yangu.

Nikiona napenda sana kitu, wakati mwingine naacha tu ili kujipima kama sijajitengenezea utegemezi. Nina discipline na a very strong will, inanisaidia.
Unaweza kukaa 24hrs bila kuzurura online kabisa?
 
Alooh hapa msibani kuna kuna pisi kali kali sana kama koo za kihabeshi hizi
Ila uzinzi, hebu malizeni kuzika kwanza 😂
Anyway karibu mshangazi.com wa jyfu mjomba wa mabuti alikuweka bize sana kipindi hiki
Ni humu tu, mjomba hana shoo mbovu

Ni humu tu!.GIF
 
Naweza, pia kukaa bila simu wala kuangalia whatsapp au kukaa hata bila internet kabisa.
Na napenda, naweza kwenda porini huko hata siku 3 bila network.
Aisee, safi sana!
Kuna weekend nilienda mbali kidogo, nje ya miji mikubwa, hata network haikuwa vizuri, ambako kiukweli nilitakiwa kutulia maana mazingira yakihitaji nifanye hivyo ila.......!
 
Back
Top Bottom