Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Unapenda sana umbea mwanakwetu.

Mbona hukunitumia sasa
View attachment 3666158

Ana matatizo ya akili, anashindwa kutofautisha ndoto anazoota na uhalisia, hakuna mwanamke anaweza kumkubali humu.

Sijui hata anaweza kuthibitisha nini, ila aje tu, nipo nimejaa tele!
😹😹😹 Nilitaka ufike nikupe hapa hapa..!!

Umbea wa jukwaani wa live kupeleka pm unakuwa haunogi..!! Pm zipelekwe pm zilizovuja ndo vitu napentraaaa..!! 😹

Aliyekuletea ana kiherehere mwambie akakazwe na mizimu ya kwao..!! 😹
 
Huyo ndo binti wa zamani AKA kigoli wa kale AKA msichana wa enzi AKA kipusa wa kitambo AKA mwali wa dahari...
Endelea kuni-hype, nafurahije 😂
Donald Glover GIF by Childish Gambino.gif

Utamuambia nini?
Hakuna, japo bado nakumbuka kituko cha kumcheka mjimama wako sura yake wakati anakojo:uwotWater::uwotWater:
Aiseeeh, kila nikikuona lazima nicheke 😆!
 
Missing u so badd sissy..😍

humu ndani mambo ni mob, and yeah nilipigwa ban wenye kuhitaji nafasi hiyo ofcourse wali party kama kawaida yao! Huku ndani mama njoo jifurahishe na wanaocheka na wewe, toka zako!

Ukijichanganya sana especially na hii gender 🐱 utashangazwa! Out of air utanuniwa, utajikuta kwenye kakikundi ka kipuuzi like mnamgombea mtu wakati u r here for fun! Na kuna kausenge wakikuona huandamani na id fulani wanajiunga nayo, without knowing anything behind!

Wengine ndio hao multiple za kisenge na ukisema this psycho is dead to me anakujia na multiples lukuki, ni kama anatumwa hivi.. I don’t reply shit! yani vichekesho tu kama machokoraa vile😎

Kuwa makini mamaa hakuna rafiki yako humu! Am out🤸🏽‍♂️
Hahaa Seroo...

Inaonekana utaachia waraka wa pili siku sii nyingi.
 
Back
Top Bottom