Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 14,535
- 35,040
- Thread starter
- #121
Unapenda sana umbea mwanakwetu.😹😹😹😹😹😹😹😹😹😹
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
You’re back mwanakwetu?
Mbona hukunitumia sasaYani wewe usingesumbuka mimi pdf nilikutunzia mwenyewe… Achana na hao mapampula waliokutumia screen shot pm..!!
Ana matatizo ya akili, anashindwa kutofautisha ndoto anazoota na uhalisia, hakuna mwanamke anaweza kumkubali humu.Kwa kifupi de gunner kajipakulia minyama mpaka misamaki kwamba wewe chombo yake eti..!! 😹😹😹
Sijui hata anaweza kuthibitisha nini, ila aje tu, nipo nimejaa tele!Mi kama kawaida yangu napenda kusikia umbea na umbea umeletwa sa nifanyaje? 😹
Muhimu de Gunner athibitishe hapa na wewe ukiwepo? Au unasemaje mwanakwetu?