Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Nimepitwa na yapi? - karibu tuzogoe 🙂

Eti wee chokoraa 😹
Lamomy nakuomba sasa dada angu usinihusishe kwenye mambo nisiyojua

Sijui chochote
Narudia sijui chochote kuhusu hilo neno ililo ni quote na sitaki kujua

Sitaki maneno nitueni ndugu zangu 🙌
Sasa kama nikisema niseme nitasema mangapi?

Hakuna kitu siwezi na sipendi kama maneno na maugomvi

Kwa sababu ningetaka hivyo basi ningefanya zamani sana
Ningekua mdau ningefanya zamani sana ninayajua baadhi ya mambo ila sitaki kusema na sitasema

Kazi yangu humu jukwaani ni moja kufungua nyuzi zangu na kujifunza
Kusoma na kuburudika
Hayo mengine naombeni sana mnitoe sijui na sitaki kujua 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
 
Kipenzi si unanijua nilivyo mdogo wako 😊 hapo nishamaliza sitii neno tena nitaharibu
Wadau wanasema JF sio ya kuchukuliq serious sana ila kuna watu wapo serious kupita serious yenyewe
Sasa mtu kama mimi mwenye mbawa fupi nakaa mbali na hao marafiki zako wakali kama petrol wasinilipue 😊😊
Jamani chaupole wangu, nani anakuonea tena? sijui kinachoendelea ila wakati mwingine ukimya nalo ni jibu, you have to pick your battles, si kila pambano ni la kuhangaika nalo, utachoka.
Bye love u 😍
Love you too kipenzi 🤗
 
Lamomy nakuomba sasa dada angu usinihusishe kwenye mambo nisiyojua

Sijui chochote
Narudia sijui chochote kuhusu hilo neno ililo ni quote na sitaki kujua

Sitaki maneno nitueni ndugu zangu 🙌
Sasa kama nikisema niseme nitasema mangapi?

Hakuna kitu siwezi na sipendi kama maneno na maugomvi

Kwa sababu ningetaka hivyo basi ningefanya zamani sana
Ningekua mdau ningefanya zamani sana ninayajua baadhi ya mambo ila sitaki kusema na sitasema

Kazi yangu humu jukwaani ni moja kufungua nyuzi zangu na kujifunza
Kusoma na kuburudika
Hayo mengine naombeni sana mnitoe sijui na sitaki kujua 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Barikiwa binti mzuri, hunaga baya na sisi members wa humu tunalijua hilo
 
Ujue nimerudi nyuma kusoma comments nione ni nani ambaye comment yake iko off sijaona 😁😁 ila mwenyewe unayewajua watu wako umeona. Halafu si uliaga wewe lakini
Hakuna mtu mama usipoteze focus, we tutiririke bila kuelewa litalompata ndio huyohuyo😆

Nikilala mafua yananibana jamani🤣
 
Back
Top Bottom