Lamomy nakuomba sasa dada angu usinihusishe kwenye mambo nisiyojua
Sijui chochote
Narudia sijui chochote kuhusu hilo neno ililo ni quote na sitaki kujua
Sitaki maneno nitueni ndugu zangu 🙌
Sasa kama nikisema niseme nitasema mangapi?
Hakuna kitu siwezi na sipendi kama maneno na maugomvi
Kwa sababu ningetaka hivyo basi ningefanya zamani sana
Ningekua mdau ningefanya zamani sana ninayajua baadhi ya mambo ila sitaki kusema na sitasema
Kazi yangu humu jukwaani ni moja kufungua nyuzi zangu na kujifunza
Kusoma na kuburudika
Hayo mengine naombeni sana mnitoe sijui na sitaki kujua 🙏🙏🙏🙏🙏🙏